Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
🤣🤣🤣🤣🤣 Usssssshuuuuungu🤣🤣 ameniblock
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣 Usssssshuuuuungu🤣🤣 ameniblock
NtaaminijeNaweza 😂😂😂
1. Kutoa au kupokea rushwa1. Kukata chips Kama wanavokata wakaanga chips wanamenya kiazi wwnapiga mistari yao sijui ndo ya diagonal chap vipande vinatokea Mimi nahangaika nitaanza kukata kwenye circle Kwanza ndo circle moja nitoe vipande.
2. Kupiga mlunzi aisee nimeshindwaga
3. Kucheza mziki ni rahisi Ila nishapishana nao naonaga hata Soo kwenye watu wengi kucheza kimasai aisee labda ningekuwaga kwenye team ya dance nikaririshwe zile move Ila me na style yangu moja tu ama mbili za mziki hizohizo naishi nazo sitaki shida.
4. Kufungua kizibo Cha chupa ya bia kwa chupa nyingine..hii kitu imenishinda Nisha jaribu mshikaji wangu yeye akikaa kwenye meza haitaji opener anashika chupa mbili anaziumanisha kwaa moja inaachia sijui huu ujuzi unakuja Kama kipaji ama laa.
5. Kuongea na simu bila kuweka loudspeaker hii Sasa ni tabia imejengeka mpaka naona kuongea bila loudspeaker sikuelewi vizuri labda iwe ishu ya Siri Sana Ila mazungumzo yoyote ya kawaida lazima nikuweke loud
that I can admit,😂😂😂 kwani si nimeambukizwa tu kwa huku.
4yrs in the city sio mchezo dada angu.
Duh we katili sana-siwezi kumsamehe mtu aliyenikosea ambaye sio familia yangu
Hii wengi Sana naweza Mara moja Kati ya sex 1000Kumwagie nje
Ndio kitu nimeshindwa
GoodKujipendekeza kwa mtu au kumnyenyekea mtu kwa sababu yeyote ile,hii kitu ilinishinda,hua naona ni kama utumwa fulani hivi.
Njoo na babe wako niwaonyeshe 😂😂Em tuone
🤣🤣 Nitaanza kujichangamshathat I can admit,
4 years ungechangamka na Jr wa machalii angekuwa baby class tayari..😂😂
Njoo nikuonyeshe babe wangu ukamuulizeNtaaminije
🤣🤣🤣🤣🤣....tajiri hua hajui kutongoza coz hujiona kama vile anajishusha,hutumia machawa tu.
Chawa anatumwa tu kwa hela ya tajiri,kwani wanaotongoza wenyewe bila chawa,hawamegewi?🤣🤣🤣🤣🤣
Nikadhani ungesema tajiri hutumia pesa, kumbe machawa!
Sa ukituma chawa si atakumegea?!
Tunakuja🤣Njoo na babe wako niwaonyeshe 😂😂
Nikupe shamba darasa kabisa
Madhara ya punyeto hayo, punyeto inaleta dharau sana kwa wanawake.kutongoza aisee
nahisi najidhalilisha sana, nahisi nakua mtumwa