Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Saafi office yako hoyee huduma 24 hrsniko mbioni mzee, taleta mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saafi office yako hoyee huduma 24 hrsniko mbioni mzee, taleta mrejesho
Bora ukate tamaa tu na uzee huo usijevunjika bure 😂😂😂Nimeshakata tamaa ya kujifunza
Missing you moore chalii ake🤗🤗😂. I miss you
kuna mtu aliniambia ni uoga wa kuumizwa 😂Tuko pamoja
Sikumbuki kama nimewahi kumtamkia kiumbe yoyote nampenda
Kiukweli ni ujinga
Nitaambia nini watu mie🤣🤣Bora ukate tamaa tu na uzee huo usijevunjika bure 😂😂😂
Mimi mbona nipo humu Sana wewe ndio ulipotea au ulikua mazoezini ukijifua ujue kufinyiepo 😎Ulipotelea wapi kijana, ulimisika
😊😘 Usiwe unapotea SanaMissing you moore chalii ake🤗🤗
Pote nitakuvumilia ila hapo pa mwanaume kunyonya zile lambalamba za Bakhresa walaqhi' nasimama kinyume.!!😂😂Kunywa soda moja kwa moja kwenye chupa yake, kula ndizi kwa kuing'ata moja kwa moja baada ya kuitoa maganda, na kula zile ice cream za Bakhresa.
Hivi vyote hunijengea picha fulani kichwani ambayo huwa sikubaliani nayo hata nikiwa sehemu pekeyangu, ingawa kwa wenzangu vinafanyika kirahisi kabisa tena mbele ya kadamnasi.
Sijui Bora tu uache Hilo likupite usijeuabisha ukoo bure ukapostiwa na milard Ayo. Avunjika akijaribu kuifinyia kwa ndani 😂😂😂Nitaambia nini watu mie🤣🤣
Hiio ilikua ni zamani, enzi za ujana😅Mimi mbona nipo humu Sana wewe ndio ulipotea au ulikua mazoezini ukijifua ujue kufinyiepo 😎
Eeh 🤣🤣🤣Sijui Bora tu uache Hilo likupite usijeuabisha ukoo bure ukapostiwa na milard Ayo. Avunjika akijaribu kuifinyia kwa ndani 😂😂😂
Unakemea kwa nguvu zote sio?Pote nitakuvumilia ila hapo pa mwanaume kunyonya zile lambalamba za Bakhresa walaqhi' nasimama kinyume.!!😂😂
Huna Cha kupoteza sio 😂Hiio ilikua ni zamani, enzi za ujana😅
Saivi nishazeeka hizo mambo nimeachia wanaochipukia