Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Mi kuacha kupiga vishoka Kwenye gr za liftiKukaa upande wa abiria kwenye Gari ndogo halafu eti nisijaribu kama honi ya Gari inafanya kazi,
Lazima nitaibonyeza tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi kuacha kupiga vishoka Kwenye gr za liftiKukaa upande wa abiria kwenye Gari ndogo halafu eti nisijaribu kama honi ya Gari inafanya kazi,
Lazima nitaibonyeza tu.
1. Kukata chips Kama wanavokata wakaanga chips wanamenya kiazi wwnapiga mistari yao sijui ndo ya diagonal chap vipande vinatokea Mimi nahangaika nitaanza kukata kwenye circle Kwanza ndo circle moja nitoe vipande.
2. Kupiga mlunzi aisee nimeshindwaga
3. Kucheza mziki ni rahisi Ila nishapishana nao naonaga hata Soo kwenye watu wengi kucheza kimasai aisee labda ningekuwaga kwenye team ya dance nikaririshwe zile move Ila me na style yangu moja tu ama mbili za mziki hizohizo naishi nazo sitaki shida.
4. Kufungua kizibo Cha chupa ya bia kwa chupa nyingine..hii kitu imenishinda Nisha jaribu mshikaji wangu yeye akikaa kwenye meza haitaji opener anashika chupa mbili anaziumanisha kwaa moja inaachia sijui huu ujuzi unakuja Kama kipaji ama laa.
5. Kuongea na simu bila kuweka loudspeaker hii Sasa ni tabia imejengeka mpaka naona kuongea bila loudspeaker sikuelewi vizuri labda iwe ishu ya Siri Sana Ila mazungumzo yoyote ya kawaida lazima nikuweke loud
Me miguu huwa inauma sana. Sijui ni utolu huu.😂Kukaa cross leggedView attachment 2641745
🤣🤣Kukaa upande wa abiria kwenye Gari ndogo halafu eti nisijaribu kama honi ya Gari inafanya kazi,
Lazima nitaibonyeza tu.
Me mwenyewe nahisi ni urefu ila mbona wapo warefu wanakaa freshi kabisaMe miguu huwa inauma sana. Sijui ni utolu huu.😂
Hii hata Mimi inanipa changamoto unakuta MTU yupo comfortable kabisa anapiga ubwabwa kwenye kisinia mpk huwa nahisi labda waislam wanazoeshwa wakiwa wadogo huko madrasaKukaa cross leggedView attachment 2641745
Nilikua nawaza hivyo hivyo, hii style ni pendwa Sana kwao hasa kwenye ubwabwa nilishaijaribu nimeshindwa.Hii hata Mimi inanipa changamoto unakuta MTU yupo comfortable kabisa anapiga ubwabwa kwenye kisinia mpk huwa nahisi labda waislam wanazoeshwa wakiwa wadogo huko madrasa
😂😂Ni mwendo wa kuwanunua tu Mkuu utongoze Kwan ww nani kwa buku tatu unaenda unajipigia 😂😂haitji gharama ya kutongozakutongoza aisee
nahisi najidhalilisha sana, nahisi nakua mtumwa
Akwende huko 😅Njoo nikuonyeshe babe wangu ukamuulize
Ndio maana.....😂kusema neno 'nakupenda'
Naonaga kama ni ujinga flani hivi😂
ndio maana nini 😂Ndio maana.....😂
Ngoja kwanza nitakuambia [emoji23]ndio maana nini [emoji23]
Chawa wake😆🤦🤦Kukaa na nyege..😎
Hcho sio kitu chepesiKuunganisha magoli. . . Hii kitu nishajaribu sana ila nimeshindwa, hivyo kila baada ya "wakoloni" lazima nipumzike kwanza kutafuta nyingine.
MmmmhKufyonza,nishajifunza Sana hola
Kuanzishwa story na mtu niliyekutana nae kwa Mara ya kwanza,Aisee siweziiii naishiaga kuambiwa naringa