Ni mambo gani muhimu ya kuzingatia uwapo Ugenini?

Ni mambo gani muhimu ya kuzingatia uwapo Ugenini?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Haya yatakusaidia maana kuna watu yamewahi kuwakuta wakajikuta wanatamani Dunia iwameze.

1. Ukiwa ugenini kama ni hivi vyoo vya kisasa kabla hujaanza jisaidia angalia kama kuna maji kwanza. Usifike tu na kuanza shusha mzigo. Utakuja jilaumu baada ya kumaliza.

Njemba alienda ukweni akagonga mamisosi mengi sana mchanganyiko. Tumbo likapatwa na mshangao aina ile ya chakula halijawahi kutana navyo. Likavurugika. Akauliza msalani akaambiwa hamna. Pale pana washroom tu. Akapelekwa.

Kwenda kule akavua tu nguo na kushusha mzigo... Ile kinyama. Alikwangua kila kitu tumboni yaani ilikuwa kidogo tu anye maini, figo, mapafu, utumbo wenyewe pengine na moyo. Kote kulitapakaa uharoh. Hakuwa na shaka. Alipoona sasa yupo empty akachukua kibomba ajisafishe. MAJI HAYATOKI. Akaangalia kwenye ndoo HAKUNA MAJI. na pale home kaenda salimia wazazi. Yupo Baba na Mama Mkwe tu.

ILIKUWA INSHU.

Ntaendelea kukupa tips nyingine
 
1.Mpe heshima zote mwenyeji wako
2.Chochote unachopokea kwa gharama au bure tanguliza, ASANTE
3.Jiweke wa pili kwa jambo lolote, epuka ujuaji
4.Kuwa makini kusoma tamaduni za wahusika na tabia zao, kwa kwa kusikiliza wanachoongea mara kwa mara na kutazama wanacho pendekeza kufanya, (ili isitokee ukavunja miiko yao)
 
Yuko jamaa alikuja Dar kwa ndugu zake, kumbe Kuna dogo mmoja hakufurahia ujio wa yule mshamba. Dogo alichoganya Ni kwamba kila akienda chooni hamwagi maji.
Mama dogo akaanza kulalamika kwamba Kuna mtu hamwagi chooni, kila mtu akawa anahisi Ni mgeni maana tabia hiyo imeanza Mara baada ya mgeni kuja.
Mgeni hakuchukua muda karudi alikotoka maana kila lawama alikua zikielekezwa kwake.
 
Unaenda Kwa watu unawapangia Tv station ya kuangalia ati Mimi huwa ndio natizama hiii......f...yo......
 
Haya yatakusaidia maana kuna watu yamewahi kuwakuta wakajikuta wanatamani Dunia iwameze.

1. Ukiwa ugenini kama ni hivi vyoo vya kisasa kabla hujaanza jisaidia angalia kama kuna maji kwanza. Usifike tu na kuanza shusha mzigo. Utakuja jilaumu baada ya kumaliza.

Njemba alienda ukweni akagonga mamisosi mengi sana mchanganyiko. Tumbo likapatwa na mshangao aina ile ya chakula halijawahi kutana navyo. Likavurugika. Akauliza msalani akaambiwa hamna. Pale pana washroom tu. Akapelekwa.

Kwenda kule akavua tu nguo na kushusha mzigo... Ile kinyama. Alikwangua kila kitu tumboni yaani ilikuwa kidogo tu anye maini, figo, mapafu, utumbo wenyewe pengine na moyo. Kote kulitapakaa uharoh. Hakuwa na shaka. Alipoona sasa yupo empty akachukua kibomba ajisafishe. MAJI HAYATOKI. Akaangalia kwenye ndoo HAKUNA MAJI. na pale home kaenda salimia wazazi. Yupo Baba na Mama Mkwe tu.

ILIKUWA INSHU.

Ntaendelea kukupa tips nyingine
Kwanini nao hawakuweka maji bafuni na mgeni anataka kwenda au mgeni anakuja, mbona si tunawawekea maji wageni hata Kama bombani hayatoki, hao roho Mbaya na kukosa upendo kwa wageni, kwa hiyo wamefurahi alivyoumbuka mgeni wao.
 
Back
Top Bottom