Ni mambo gani ya kujiandaa pindi mwanamke anapotaka kujifungua?

Ni mambo gani ya kujiandaa pindi mwanamke anapotaka kujifungua?

kimara Kimara

Member
Joined
Jul 7, 2024
Posts
80
Reaction score
173
Habari za Muda huu wadau,

Ukiachana na Mambo ama elimu tunayofundishwa Kliniki pindi umempeleka mwenzi wako Siku ya kwanza kliniki.

Kama Kuandaa vitu vya kujifungulia, kanga, Mpira, Nguo za mtoto, Pesa za kujifungulia na usafiri. N.k.

Ni mambo gani mengine ya muhimu ambayo unatakiwa kujiandaa nayo pindi mnapokaribia kupata mtoto (KUJIFUNGUA)

PregnantWoman.jpg
 
Habari za Muda huu wadau,
Ukiachana na Mambo ama elimu tunayofundishwa Kliniki pindi umempeleka mwenzi wako Siku ya kwanza kliniki,

Kama Kuandaa vitu vya kujifungulia, kanga, Mpira, Nguo za mtoto, Pesa za kujifungulia na usafiri. N.k..

Ni mambo gani mengine ya muhimu ambayo unatakiwa kujiandaa nayo pindi mnapokaribia kupata mtoto (KUJIFUNGUA)
Andaa hela mkuu
 
1. Jiandae kisaikolojia kwanza.
2. Usijifunge na tarehe ulioambiwa na OB wako...muda wowote baada ya miezi Sita unaweza kujifungua.
3. Nguo za mtoto ni muhimu saana. Vyombo na sehemu ya kulala.
4. Uwe na pesa ya chakula chako na cha mtoto....utahitaji kula kama unanyonyesha kama haunyonyeshi andaa pesa ya formula.
5. Ulizia blood group la mtoto kama hawaandiki kwenye kadi...itakusaidia baadae.
6. Usije ukakosa check-up yoyote.
7. Usianze kumdandia mama baada ya kujifungua mpe hata tumiezi tutatu walau.
8. Baada ya kujifungua fanya checkup ya mtoto maana muda mwingi inakuwa ni Bure kama moyo, macho, maskio, mfumo wa chakula.....ukisubiri saana unaweza kuwa mvivu na usiangalie
 
1. Jiandae kisaikolojia kwanza.
2. Usijifunge na tarehe ulioambiwa na OB wako...muda wowote baada ya miezi Sita unaweza kujifungua.
3. Nguo za mtoto ni muhimu saana. Vyombo na sehemu ya kulala.
4. Uwe na pesa ya chakula chako na cha mtoto....utahitaji kula kama unanyonyesha kama haunyonyeshi andaa pesa ya formula.
5. Ulizia blood group la mtoto kama hawaandiki kwenye kadi...itakusaidia baadae.
6. Usije ukakosa check-up yoyote.
7.
Umetisha
 
1. Jiandae kisaikolojia kwanza.
2. Usijifunge na tarehe ulioambiwa na OB wako...muda wowote baada ya miezi Sita unaweza kujifungua.
3. Nguo za mtoto ni muhimu saana. Vyombo na sehemu ya kulala.
4. Uwe na pesa ya chakula chako na cha mtoto....utahitaji kula kama unanyonyesha kama haunyonyeshi andaa pesa ya formula.
5. Ulizia blood group la mtoto kama hawaandiki kwenye kadi...itakusaidia baadae.
6. Usije ukakosa check-up yoyote.
7. Usianze kumdandia mama baada ya kujifungua mpe hata tumiezi tutatu walau.
8. Baada ya kujifungua fanya checkup ya mtoto maana muda mwingi inakuwa ni Bure kama moyo, macho, maskio, mfumo wa chakula.....ukisubiri saana unaweza kuwa mvivu na usiangalie
Shukran
 
Back
Top Bottom