secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Umenichekesha mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenichekesha mno
Daah million tatu..... Hapa sina hata mia mbovu 😂Umenichekesha mno
usiishi kwa mazoea nduguKama hauna hiyo pesa, mtoto hatazaliwa au atakufa?
Basi wengi wetu tusingekuwepo duniani
ni kujitahidi amna namnaHahaha bro mbona hatari
Sasa mahi gesi yangu imeisha, kodi nadaiwa plus luku pia imeisha...tuanzie hapo kwanza 😁😁😁😁😁Haha....ninao wajua 2. Watoto ni baraka.
Hiii imenigusa sana mpendwa..... ahsante sana1. Jiandae kisaikolojia kwanza.
2. Usijifunge na tarehe ulioambiwa na OB wako...muda wowote baada ya miezi Sita unaweza kujifungua.
3. Nguo za mtoto ni muhimu saana. Vyombo na sehemu ya kulala.
4. Uwe na pesa ya chakula chako na cha mtoto....utahitaji kula kama unanyonyesha kama haunyonyeshi andaa pesa ya formula.
5. Ulizia blood group la mtoto kama hawaandiki kwenye kadi...itakusaidia baadae.
6. Usije ukakosa check-up yoyote.
7. Usianze kumdandia mama baada ya kujifungua mpe hata tumiezi tutatu walau.
8. Baada ya kujifungua fanya checkup ya mtoto maana muda mwingi inakuwa ni Bure kama moyo, macho, maskio, mfumo wa chakula.....ukisubiri saana unaweza kuwa mvivu na usiangalie
Hope urassa unaona Miaka yenu hii🤣🤣 sasa endelea kuchelewa walau usikose milio Saba mfukonihakikisha hukosi walau milio tatu mfukoni
huyo urassa ni binti yangu hua napenda sana kumtania mamaa wa shilingiHope urassa unaona Miaka yenu hii🤣🤣 sasa endelea kuchelewa walau usikose milio Saba mfukoni
Duh!Usile mbususu nje kwa miez kadhaa utambemenda mtt according na tamaduni zetu chapter two