Ni mambo gani ya kujiandaa pindi mwanamke anapotaka kujifungua?

Umenichekesha mno
Daah million tatu..... Hapa sina hata mia mbovu πŸ˜‚
Afu nasikia m3

Kuna Uzi niliona humu watu wanasema matumizi ya mtoto kwa mwezi sijui laki nne na ni wale wanao nyonya sijui

Mimi bado niko kwenye kundi la kufunga watoto na kanga aseeh πŸ˜‚
 
Hiii imenigusa sana mpendwa..... ahsante sana
 
Usile mbususu nje kwa miez kadhaa utambemenda mtt according na tamaduni zetu chapter two
 
Jiandae kuanzia wik y pili KATOTO HAKALALI// kama sio kulia lia// macho kodooo na ww lazima uwe kodooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…