Kama unatafuta mke ..kipindi cha uchumba jitahidi sana ku mchumbia mama yake kwanza... Kama mama yake alikua mkorofi kwa mume wake na alikua anapenda maisha ya usawa au kumkalia mwanaume, na kama alikua single mama, au mama yake alikua mjeuri sana asie na adabu wala utii kwa mume..huyo mwanamke hafai kuolewa cz mwanamke anarithi tabia kwa mama yani anacopy...
KAMA MWANAMKE ANAMCHUKIA SANA BABA YAKE MZAZI , HANA HESHIMA KWA BABA YAKE HATA KWAKO ITAKUA HIVYO HIVYO. HUYO MKWEPE SANA HAFAI KUA MKE cz heshima mwanamke anayo mpa baba yake na wewe hivyo hivyo kama mume utaipata
Kama unatafuta mume kipindi cha uchumba, Chumbia kwanza baba yake ndio utapata tabia za mumeo cz nae ni hivyo hivyo anacopy
KAMA MWANAUME ANACHUKI NA MAMA YAKE MZAZI JUA WAZI KABISA NA KWAKO ITAKUA HIVYO HIVYO ,HUYO HAFAI KABISA
Nb: kama unaweza oa muundo mzima wa familia yao yani isome sana background ya familia ya huko unako taka kuoa / kuolewa utapata tabia ya unae taka kumuoa/ olewa nae..
Bila kusahau angalia na aina ya marafiki alio nao huyo mchumba wako utapata kujua tabia yake..
ukikamilisha haya yote kwa muda usiopungua miezi sita na ukajiridhisha basi Mungu awatangukie
NAKAZIA MWANAUME KAMA UNAJUA KABISA HAUNA AKILI SIKUSHAURI KUOA