Ni mambo gani ya kuzingatia wakati wa kuchagua mwenza na uchumba unapaswa kudumu kwa muda gani kabla ya kufunga ndoa?

Ni mambo gani ya kuzingatia wakati wa kuchagua mwenza na uchumba unapaswa kudumu kwa muda gani kabla ya kufunga ndoa?

Kama unatafuta mke ..kipindi cha uchumba jitahidi sana ku mchumbia mama yake kwanza... Kama mama yake alikua mkorofi kwa mume wake na alikua anapenda maisha ya usawa au kumkalia mwanaume, na kama alikua single mama, au mama yake alikua mjeuri sana asie na adabu wala utii kwa mume..huyo mwanamke hafai kuolewa cz mwanamke anarithi tabia kwa mama yani anacopy...

KAMA MWANAMKE ANAMCHUKIA SANA BABA YAKE MZAZI , HANA HESHIMA KWA BABA YAKE HATA KWAKO ITAKUA HIVYO HIVYO. HUYO MKWEPE SANA HAFAI KUA MKE cz heshima mwanamke anayo mpa baba yake na wewe hivyo hivyo kama mume utaipata

Kama unatafuta mume kipindi cha uchumba, Chumbia kwanza baba yake ndio utapata tabia za mumeo cz nae ni hivyo hivyo anacopy
KAMA MWANAUME ANACHUKI NA MAMA YAKE MZAZI JUA WAZI KABISA NA KWAKO ITAKUA HIVYO HIVYO ,HUYO HAFAI KABISA

Nb: kama unaweza oa muundo mzima wa familia yao yani isome sana background ya familia ya huko unako taka kuoa / kuolewa utapata tabia ya unae taka kumuoa/ olewa nae..

Bila kusahau angalia na aina ya marafiki alio nao huyo mchumba wako utapata kujua tabia yake..


ukikamilisha haya yote kwa muda usiopungua miezi sita na ukajiridhisha basi Mungu awatangukie

NAKAZIA MWANAUME KAMA UNAJUA KABISA HAUNA AKILI SIKUSHAURI KUOA
[emoji375][emoji375][emoji419][emoji625][emoji2767][emoji420]noted with thanks
 
Chukua hizi.
1.usioe mwanamke chini ya 25 yrs akikuzoea utaomba poo.

2.usioe mwanamke mchoyo/mbinafsi.

3.KAMA MWANAMKE KWAO MAMA ANASAUTI KULIKO BABAKE USIJARIBU HATA KUTIA MGUU KWAO KIMBIA
Ni mara milioni uoe mwanamke mchawi mlevi lakini No3 acha kabisa usithubutu.
 
Chukua na haya. 1.jitahida kumfahamu yeye, wazazi wake, marafiki zake. 2.Dini, miwe wa Imani Moja( kiroho zaidi). 3.umri, angalau ukaribiane, msiwe na tofauti kubwa Sana. 4.Kabila au jamii. Oa Kwa jamii mnazo karibiana Kwa Mila na desturi/ fahamu Mila na desturi za jamii yake. 5.elimu.angalau mkaribiane japo sio lazima, kikibwa kujitambua. 6.kipato, na çhanzo cha mapato yake jitahidi yafahamu. NB.usioe gogo, OA feni...
 
Hakikisha huyo mkeo mtarajiwa hana X ambae anawasiliana nae pale mnapokua mmekorofishana. Huyo ndio alikua anapendwa na ana uwezo wa kurudi kujipigia nyama tamu mda wowote akitaka.
Kweli kabisa mkuu kuna mmoja ana watoto wawili angekuwa karibu ningepasha kiporo sema yuko mbali sana na nilipo ndoa yake ina migogoro.
 
Ishi nae hata mwaka au zaid na ukiona madhaifu piga chini usijiulize mara mbili,

Kuna watu weng wapo kwenye ndoa zenye migogoro japo wakati wa uchumba waliona madhaifu wakajipa imani kuwa atabadilika sahiv wanajuta
 
Asikwambie MTU Tabia ya MTU huwa inakuja automatically.....kutokana na mchezo atakao ukuta kwenye ligi yako.....kama ni bunda sliga au premier League.........
 
Ila usiombe ukutane na Zombi maigizo maana utajuta kuzaliwa ........kama ulinogewa na utamu WA mbususu ukuchagua MTU kweli hapo ndio utajua kwani wapemba hawaupendi ugali licha ya kutojua kulima
 
Back
Top Bottom