Mkali kwa maana ya mzuri au unamuogopa?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii kitu inakera balaa, mara kadhaa imenikuta.
Nakumbuka kuna siku mpangaji mwenzangu wa kike mkali mkali alinisalimia, ikabidi nimeze povu la dawa ya meno ili nijibu salamu.
So disgusting ila sikuwa na namna. [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mambo ya connectionnatubu kabisa siangalie tena, na siku hiyo hiyo mzigo mpya unavuja basi kila nikifungua jamiiforums nakuta masela wanajadili.Wakuu sio poa haya mambo ilikuwa wapi siku zote
Mzuri, mrembo a.k.a pisi kali πππ
Hapo ni shetani anakurajibu.natubu kabisa siangalie tena, na siku hiyo hiyo mzigo mpya unavuja basi kila nikifungua jamiiforums nakuta masela wanajadili.Wakuu sio poa haya mambo ilikuwa wapi siku zote
Ndiyo mkuu
hapo mwili unakua unaji screen shortUnapiga chafya na ushuzi huoooo unaponyoka inakera sana [emoji125][emoji125][emoji125]
Hahahaaa. Lol.Unapiga chafya na ushuzi huoooo unaponyoka inakera sana [emoji125][emoji125][emoji125]
Kuna siku ilinikuta hii, nimechomeka simu chaji kumbe switch ipo off, nimetoka nikapiga misele weee, nikiwa najua nikirudi nitakuta ishaingiza moto kama 50%, nafika nawasha naona inazima, kucheki switch ipo off..ningekuwa puto ningepasuka kwa hasira siku hiyo.Umechomeka simu usiku mzima uchaji kumbe hukuwasha switch
π π π π π πHiyo namba tano inafanyaga hawa babu zangu hapa nyumbani niwage nawapa leso watembee nazo mana wakiwa na mafua tu basi wakipiga chafya ujue kinachofuata unaeza kasirika. ππ
Mana unakuta katoto kanaduwaa tu na usipokuwa makini basi ujue tishirt ndio itageuka leso.
π π π π πhapo mwili unakua unaji screen short