bartenderznz
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 398
- 195
- Thread starter
- #41
BHM 1-2 Man City
Wacha tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha tuone
Aguero atafia uwanjani leo HAHAHAHAA
Teh teh teh
Hili kombe ngoja achukue city tu,coz hawa kenge wa anfield wanakelele sana. Kigoli cha mane kilivyoingia nusura wanipige na TV.[emoji856][emoji856][emoji856]
Umeona hao jamaaa ni shida
Wanakera sana,cjui ni nyege za 30years without epl trophy zinawawasha balaa.[emoji20][emoji20][emoji20]
Manchester united naona wameamua kupigwa la pili dah! Hii ni laana Babu kaiacha kweli au wameiuza hii mechi kisa wanajua hawaendi kokote [emoji11][emoji11]
Manchester united naona wameamua kupigwa la pili dah! Hii ni laana Babu kaiacha kweli au wameiuza hii mechi kisa wanajua hawaendi kokote [emoji11][emoji11]
Man city watafia uwanjani leo nilimsikiliza Guadiola anasema hii ni Toughest league lakini tutalazimika kufanya maajabu.BHM 1-3 Man City
Mahreeeeeez,kwisha habar
Bingwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kwisha kabisa