Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

sina shida na hilo yeye aoe atakao ila sikwambii siku akiwa na hela za ziada yan awe ana mkwanja wa ziada umeingia kama faida atataka kutomba tu hilo halina mushkeli subiri siku mambo yaende hovyo mimi ndio napata likizo fupi
Tena kupunguza jam usiende likizo fupi. Nenda mazima kabisa. Mahawuzigeri mtaa mzima wataendelea kutoa huduma. Tena kwa kununuliwa barafu ya 100. Achana na nyie mnaotaka mikwanja ya kuwapelekea wanaume. Sema ya kuhongaaa
 
Siwezi kabisa mi nikikosea namwambia acha na hilo bana ndo imeisha hiyo na nna kauli yangu kwake huwa napenda kumwambia mwanaume hakosei na yeye ndo huwa anamalizia nikisema acha na hilo au yaishe ye husema mwanaume hakosei namalizia naam au umeona!
Hayo ni makosa madogo madogo, sio zile blunder kabisa, yaani utoe boko la kumuumiza mtoto wa watu kisha umwambie mwanaume hakosei huku ni kumnyanyasa sasa.
 
huyu akikojoa kwanza ngoma hailali nishapeleleza sana huenda kuna midawa ananinywea lakini wala sema n mtu wa mazoezi ila huo ndio udhaifu yan mengine kwangu ya kawaida sana kama akibadili nguo chumban anatupa tu taulo kule boxer hayo yote kwangu s kitu ila ngoma hapo kitandani
Una pepo mtoto wewe!
 
Tena kupunguza jam usiende likizo fupi. Nenda mazima kabisa. Mahuwuzigeri mtaa mzima wataendelea kutoa huduma. Tena kwa kununuliwa barafu ya 100. Achana na nyie mnaotaka mikwanja ya kuwapelekea wanaume. Sema ya kuhongaaa
mbona imekuuma sana kama unataman uipate ww hio nafas kama unamuonea huruma sana sema nimwambie akuoe
 
Kupika vyakula kwa kuchemsha, haloo huwa nachoka sana,kuna siku nimetoka safari nikaja na viazi mviringo nusu gunia nikiamini hapa itakuwa ni mwendo wa zege tu lkn huwezi amini vile viazi ndo ilikuwa breakfast ikawa kila siku asubuhi anachemsha anavileta hivyohivyo mpaka mzigo ukakata
 
Nd
huyu akikojoa kwanza ngoma hailali nishapeleleza sana huenda kuna midawa ananinywea lakini wala sema n mtu wa mazoezi ila huo ndio udhaifu yan mengine kwangu ya kawaida sana kama akibadili nguo chumban anatupa tu taulo kule boxer hayo yote kwangu s kitu ila ngoma hapo kitandani
Ndio uzima huo, sijui wengine lakini ni kawaida kukojoa na ndonga ikawa inadai, japo mara chache inatokea unakojoa unakosa mzuka. Lakini ukikojoa ndonga inakuwa iko hewani inadai.
 
nyege, yan uyu kukutomba wiki nzima haoni hasara hta umpe vitatu kwa usiku mmoja bado kesho atataka tena, sijakataa ndio kutiana n muhim ila namwambia kuna siku ntakimbia na chupi mkononi na sio kua ukiwa mbali anateseka yan mnaweza shinda mbali kila mtu busy ila mkionana jioni tu tayari ana nyege, saa zingine najisemea atakua na hisia kali juu yangu lakini kuna mda najisemea awee this is too much am not a sex machine!
Aisee ila siku ukianza kumpangia au kumpunguzia asije akatafuta mchepuko huko, anakupenda wewe tu ndiyo maana ana hisia kali na wewe , so mpe yote tu kwani si wote mnaenjoy , life is too short🤔
 
mbona imekuuma sana kama unataman uipate ww hio nafas kama unamuonea huruma sana sema nimwambie akuoe
ni kawaida nampa yote ili aridhike angalau aniache hata siku mbili tatu lakini wapi

Kilichokupeleka ni nini? Wewe ulijua unaenda kuosha vyombo?
Kazi yako ndo hiyo. Ukishindwa achia ngazi. Mambo ya wakuoe wewe. Hamna. Ukisikia kuchakatwa ndo huko,hata ichanike poa tu.
 
Unataka kauhuru flani hivi, ukishuka Airport uwe huru kuchagua aina ya usafiri unataka, ila shukuru kwa kumpata wa namna hiyo, he cares! Binafsi pia nampokea, ila kwa kuombwa, yaani siwezi kwenda kwa Magufuli bila yeye kuniomba.
Tatizo langu mi na yeye ni lazima achelewe kuja kunipokea. Dakika 10,15, 20 mi lazima nisubiri. Abiria wote niloshuka nao wanakuwa wamesepa bado mimi tu.

Nilishammind sana anajichekesha tu.
 
Back
Top Bottom