Tena kupunguza jam usiende likizo fupi. Nenda mazima kabisa. Mahawuzigeri mtaa mzima wataendelea kutoa huduma. Tena kwa kununuliwa barafu ya 100. Achana na nyie mnaotaka mikwanja ya kuwapelekea wanaume. Sema ya kuhongaaasina shida na hilo yeye aoe atakao ila sikwambii siku akiwa na hela za ziada yan awe ana mkwanja wa ziada umeingia kama faida atataka kutomba tu hilo halina mushkeli subiri siku mambo yaende hovyo mimi ndio napata likizo fupi
Hayo ni makosa madogo madogo, sio zile blunder kabisa, yaani utoe boko la kumuumiza mtoto wa watu kisha umwambie mwanaume hakosei huku ni kumnyanyasa sasa.Siwezi kabisa mi nikikosea namwambia acha na hilo bana ndo imeisha hiyo na nna kauli yangu kwake huwa napenda kumwambia mwanaume hakosei na yeye ndo huwa anamalizia nikisema acha na hilo au yaishe ye husema mwanaume hakosei namalizia naam au umeona!
Unajitahidi kuniburudisha 😆🤣😂 aaaah muongo weweeeKumbe raraa reree ukiona tu ka profile ka demu unachatigi? Mi najitutumua kukuburudisha naishia tu like. Una laana we mtoto. Sijui we ndo Selemani
Una pepo mtoto wewe!huyu akikojoa kwanza ngoma hailali nishapeleleza sana huenda kuna midawa ananinywea lakini wala sema n mtu wa mazoezi ila huo ndio udhaifu yan mengine kwangu ya kawaida sana kama akibadili nguo chumban anatupa tu taulo kule boxer hayo yote kwangu s kitu ila ngoma hapo kitandani
mbona imekuuma sana kama unataman uipate ww hio nafas kama unamuonea huruma sana sema nimwambie akuoeTena kupunguza jam usiende likizo fupi. Nenda mazima kabisa. Mahuwuzigeri mtaa mzima wataendelea kutoa huduma. Tena kwa kununuliwa barafu ya 100. Achana na nyie mnaotaka mikwanja ya kuwapelekea wanaume. Sema ya kuhongaaa
Ngoja naweka na mimi sasaUnajitahidi kuniburudisha 😆🤣😂 aaaah muongo weweee
Ndio uzima huo, sijui wengine lakini ni kawaida kukojoa na ndonga ikawa inadai, japo mara chache inatokea unakojoa unakosa mzuka. Lakini ukikojoa ndonga inakuwa iko hewani inadai.huyu akikojoa kwanza ngoma hailali nishapeleleza sana huenda kuna midawa ananinywea lakini wala sema n mtu wa mazoezi ila huo ndio udhaifu yan mengine kwangu ya kawaida sana kama akibadili nguo chumban anatupa tu taulo kule boxer hayo yote kwangu s kitu ila ngoma hapo kitandani
Unaweka nini 😄Ngoja naweka na mimi sasa
Naanza kujaribu sasa nione muendelezo😀Nikikumbuka baadae 😃😃
Mm hata nichelewe aje, lazima nitapasha maji. Sasa ule muda napasha maji, naswaki kwa uzuri tu
Ndo maana umeleta malalamiko hapa una wasiwasi? Usimwambie anioe,we kaa tu. Si ndo kazi ulozaliwa wewe? Ukitoka huko unapigwa. Mtaa wa pili kule tunakulamba. We jichanganye uonembona imekuuma sana kama unataman uipate ww hio nafas kama unamuonea huruma sana sema nimwambie akuoe
Picha ya dem mkaliUnaweka nini 😄
Hii Ni dawa yangu mimi kabisa, halafu napenda kuiminyia kinywani kuliko kwenye mswaki, yaani niitafune kisha ndio nipitishe mswaki.Yangu hiyo hapo😀😀 kumbe kuna sheria ya kubonyeza dawa, naanza sasa
Ni wewe tu 😁Picha ya dem mkali
Aisee ila siku ukianza kumpangia au kumpunguzia asije akatafuta mchepuko huko, anakupenda wewe tu ndiyo maana ana hisia kali na wewe , so mpe yote tu kwani si wote mnaenjoy , life is too short🤔nyege, yan uyu kukutomba wiki nzima haoni hasara hta umpe vitatu kwa usiku mmoja bado kesho atataka tena, sijakataa ndio kutiana n muhim ila namwambia kuna siku ntakimbia na chupi mkononi na sio kua ukiwa mbali anateseka yan mnaweza shinda mbali kila mtu busy ila mkionana jioni tu tayari ana nyege, saa zingine najisemea atakua na hisia kali juu yangu lakini kuna mda najisemea awee this is too much am not a sex machine!
Wewe sasa umezidi hadi kuiminyia kinywani ?😀😀Hii
Hii Ni dawa yangu mimi kabisa, halafu napenda kuiminyia kinywani kuliko kwenye mswaki, yaani niitafune kisha ndio nipitishe mswaki.
ni kawaida nampa yote ili aridhike angalau aniache hata siku mbili tatu lakini wapimbona imekuuma sana kama unataman uipate ww hio nafas kama unamuonea huruma sana sema nimwambie akuoe
Tatizo langu mi na yeye ni lazima achelewe kuja kunipokea. Dakika 10,15, 20 mi lazima nisubiri. Abiria wote niloshuka nao wanakuwa wamesepa bado mimi tu.Unataka kauhuru flani hivi, ukishuka Airport uwe huru kuchagua aina ya usafiri unataka, ila shukuru kwa kumpata wa namna hiyo, he cares! Binafsi pia nampokea, ila kwa kuombwa, yaani siwezi kwenda kwa Magufuli bila yeye kuniomba.
Kwani hajui maana ya kuichakata🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣?Aisee ila siku ukianza kumpangia au kumpunguzia asije akatafuta mchepuko huko, anakupenda wewe tu ndiyo maana ana hisia kali na wewe , so mpe yote tu kwani si wote mnaenjoy , life is too short🤔