Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Kwakweli mwanaume wa hivyo kama hujapigwa matukio huko nyuma ndo waweza muona kero ila akuu tunaenjoy, wivu unaendana na uaminifu/mapenzi kwa kiasi fulani moyo unaridhika kuwa hapa napendwa na si ndo tunavyotaka wanawake
Unainjoy sababu umekomaa vya kutosha, ila mtoto wa 18-24 yrs age hapo ataona anabanwa banwa. Utu uxima dawa ndio maana napenda mahusiano na madada wakubwa waliomaliza mihangaiko. 🤣🤣🤣
 
Hahah burudani ilioje unanyonya na utu uzima huu 🤣 nikuhakikishie tu kila mwaka itakuwa safari ya Leba
 
Labda kama unafanya kazi pale tai mkuu kwamba kuna wengine wanajua ulipo incase of anything.
 
Nakuunga mkono 100%
 
Unainjoy sababu umekomaa vya kutosha, ila mtoto wa 18-24 yrs age hapo ataona anabanwa banwa. Utu uxima dawa ndio maana napenda mahusiano na madada wakubwa waliomaliza mihangaiko. 🤣🤣🤣
😂😂Mbona mihangaikooo,, kiukweli age kubwa wengi hawana fujo, si unaona dejane anamnyoyesha mtu mpaka anasinzia nimepata cha kuigilizia
 
Raha ya ndoa ni kupeana challenges! Ili mradi msipigane tu.
Kwa kifupi hakuna ndoa isiyokuwa na changamoto! Katika ndoa mnakutana kila mtu amelelewa tofauti.
 
😂😂Mbona mihangaikooo,, kiukweli age kubwa wengi hawana fujo, si unaona dejane anamnyoyesha mtu mpaka anasinzia nimepata cha kuigilizia
Hahahahahah ndio ukubwa dawa huo. Nyege kunyegezana bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…