Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Unakulaje meza moja na wanawake ?
Acha chocolate wewe.
Aisee wangu amezidi upole, yaani ni mpole sana yule mwanamke halafu amenipenda sana mpaka Kuna kipindi sukari ilimpanda kisa kaona sms ya mdada akiniambia (Nimekumic java)..

Tatizo lake kubwa ni wivu,na kutojiamini.
Huyo ni kama wangu. Yaani ni wivu kwenda mbele na huu uzee wetu.
 

Mi huwa nasema ni umaskini na mambo ya imani ila mke 1 hafai kabisa hatoshei kabisa kwa mme 1
 
Wee kuna wanawake huko mbeya ukitaka kumpiga anakimbilia chumbani ukifuata anajirusha kwa bed naked harafu analala kwa mgongo na miguu anaiinua kwa juu na kuisambaza mkao wa saa 3:15. Utapiga wapi?[emoji23][emoji23]

Haaaa siwezi nikichukia au kukasirika kwa Jambo flani hata huwezi nishawishi kwa cho chote zaidi ya nilichopanga kukufanyia
 
hahahahah
kashaathirika na misemo ya kihuni kuwa mke lazma umzabue haswaa🤣🤣🤣
 
Vumilia huenda atakata moto mkuu,
Hata mie napemda kunjunjana kuliko kula, ukijilegeza nakunjunja tu.. 😂🤣

Lakini sio hiyo ya leo 3, kesho 3, keshokutwa 3, mtondogoo 3. 😂😂
Hahahah huyo jamaa ni superman. Mwanamke wako unamgongaje vitatu kila siku 🤣🤣🤣
 
vya kuchemsha ndio afya sio zege linaua mtambo,
 
Aisee ila siku ukianza kumpangia au kumpunguzia asije akatafuta mchepuko huko, anakupenda wewe tu ndiyo maana ana hisia kali na wewe , so mpe yote tu kwani si wote mnaenjoy , life is too short🤔
Mwenzio kachoka kupigwa dose ya 3x3 kila siku 🤣🤣🤣! Ingekuwa wewe ungeweza mpa mtu vitatu kila siku?
 
Hili tatizo liko kwa wengi kumbe 🤣yani mwanamke akiwa sio mtu wa kupenda mizagamuo inakera sana sema advantage inakuwa kwamba sio rahisi yeye kuchepuka kama wale wapenda ngono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…