makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Akijifanya chiz, we unakuwa KREIZE kabis.hahahahah
hawa bila kwenda nao kindava awaelewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akijifanya chiz, we unakuwa KREIZE kabis.hahahahah
hawa bila kwenda nao kindava awaelewi
Aisee hii mada inakuhusu wewe wengine tunachangamsha baraza tu kumbe, pole sana nawahurumia watoto tuNimesoma weeee....! Sijaona mtu anayekabiliwa na mapungufu ninayokabiliana!!
Nimeoa msichana mzuri, tulikuwa tunafanana tabia kama kupenda kusikiliza aina fulani ya music pamoja. Kutoka outing, kupiga wine zetu wenyewe daaah!! Tukisafiri itaandaliwa collection ya music na humo garini ni raha tupu.
Sijui kakutana na mitume gani pumbafu!! Wamemfanya amebadilika totally, amekuwa mwoga wa maisha, anaogopa kufa kama yeye ndo atakufa pekee.
Nyumbani!! Hakuna kusikiliza music ni dhambi, no wine no anything!! Nyumba ipo kimyaaa....!!
Hakuna utani hakuna stories muda wote ni kuomba na kulia mpaka namshangaa kilichomkuta!!
Hakuna kujipodoa wala kusukia nywele bandia, dhambi!! Kuna manguo yao kama sketi za charanga yaan!! Kawa kama bibi fulani hivi!
Muda wote ni serious! Mkali kwa watoto mkali kwangu japo nilishamuwasha kwangu mie haleti ujinga wake.
Imebidi niwashike watoto (nipo nao close) maana niliona wanakuwa victims kwa hii tabia iliyokuja. Naye nimemuacha ajiendeshe mwenyewe kwanza akirudi kawaida tutaelewana.
Maisha nimeamua kuyafanya kama naishi alone kwanza ili mambo yaende ila ni kero kubwa saaana!!
nilijua tu..dah
Kweli hamna jema duniani 😀 ukilia unaonekana msanii, usipolia unaoneka kauzu hujali
Kuminya kuanzia chini kwenda juu kunaepusha kuepuka kutupa dawa ambayo haijamalizika vizuri.Akiminya popote kuna shida gani? Maana kwa uzoefu wangu wa hizi kasha za plastiki dawa inaisha vilevile tu.
Haha sawa dearly.. jitahidiAisee 🥰 ngoja nijipe 2 weeks nijifanyie evaluation 😀
Hahaha hio silaha nyoko kweli😂Asante kwa kunikumbusha silaha madhubuti kabla mwaka haujaisha itakuwa imetumika effectively
Tatizo hiloYangu hiyo hapo😀😀 kumbe kuna sheria ya kubonyeza dawa, naanza sasa
Kwenye Kutoa Details kwenye Kila kitu Mzee Vumilia tu,, Ndiyo walivyoumbwaa USICHUKIEBora wewe unajibiwa asante baba, wengine ni wanabisha hawajakosea na wako sahihi.. [emoji1787][emoji23]
Ukishinda hoja utaambiwa basi yaishe.
Nina mwanangu ana majanga, wakati mwingine unaona hata aibu kumtembelea nyumbani kwake.
Mkewe ana kaujeri kakimya kimya, ukimuona ni mpole lakini ni mjeuri kinoooma, mwanangu anapata tabu saana, kuna muda anafikiria kumuacha.
Mie wangu ni kutaka kujua kila kitu in details, ananiboa saana, chochote kile atataka in details, hata apige simu mtu akuongeleshe atakuuliza nani huyo, ndio yupi. [emoji23][emoji1787] Unamuliza utamjuaje sasa, hata nikikutajia fulani huwezi kumjua [emoji23], sijui ni kupenda kuongea na simu au vipi
Hata umpelekee zawadi atataka kujua yoote, kama umekopa, umemnunulia na sh ngapi, unajiuliza we unataka kujua nini, yaani ni shughuli pevu [emoji23]
Kingine anapenda mnoo kuongea na simu, bora muwe karibu hii inasaidia, akiwa mbali anapiga simu ataongea mpaka stori zaitaisha, mie mvivu kubonga na FONI naishia kuweka loudspeaker tu.
Sometimes hana stori, anakupihia anakwambia mwanao anakuita, sasa mtoto Mwenyewe ndio bado hajatimiza mwaka vizuri, kuongea haongei, unajua tu hapa nimemisiwa.
Mengine madogo madogo, yanachangiwa na maisha yangu ya awali.
Elewa neno AWALI. lizingatie vema.
Nakujua wewe ni mtu mzima tena sana , mpk leo duuPadre anavyonipenda hivi, kila leo ananiita baby 🤣🤣, aise
Kama ni muumini wa hawa matapeli wanaojiita mitume pole sana huyo kumbadili sio rahisi labda uamue kuwa mbabe flani humo ndani kusikalike kama ataenda kwa hao matapeli la sivyo kuna jingine
Hahah tulia upelekewe moto mama, ndio mkataba wa ndoa huo 🤣nyege, yan uyu kukutomba wiki nzima haoni hasara hta umpe vitatu kwa usiku mmoja bado kesho atataka tena, sijakataa ndio kutiana n muhim ila namwambia kuna siku ntakimbia na chupi mkononi na sio kua ukiwa mbali anateseka yan mnaweza shinda mbali kila mtu busy ila mkionana jioni tu tayari ana nyege, saa zingine najisemea atakua na hisia kali juu yangu lakini kuna mda najisemea awee this is too much am not a sex machine!
Sawa kaka, nitajitahidi.Kwenye Kutoa Details kwenye Kila kitu Mzee Vumilia tu,, Ndiyo walivyoumbwaa USICHUKIE
Hilo linarekebishika bana, ni dogo😀😀Tatizo hilo
Mrefu sana tuKama ni mfupi lazima awe mbishi
Dawa ya buku 8 unaichezea hovyo halafu unasema tatizo dogo 🤣Hilo linarekebishika bana, ni dogo😀😀
Kwa upande wangu sina mke kwa sasa, lakini nina mpenzi, nampenda sana, ila huwa ananichekeshaga sana.
1. Ana hasira za karibu(Plus ukorofi)
-kipindi ambacho anakujaga kuishi kwangu huwa anafanya vitu vinanikera sana hadi sometimes nachekaga tuu, ana sura ya kitoto, sauti ya kitoto, ni mfupi, yaan basically ni mtoto ndo maana hata akinikera nashindwa hata cha kumfanya mwishowe nacheka tuu.
-huwaga mara nyingi nachelewaga kurudi, sasa yeye hataki nichelewe kurudi, hataki kabisaaa, na ukimwambia nilikuwa sehemu flani hataki, yeye anachojua mm nilikuwa na wanawake wengine, hii inampelekea kufoka, kununa(sunajua zile morning drama, yaan asubuhi anawasha generator, halizimiki hata useme nn) pamoja na kushtaki kwa mama angu, sasa kuna siku hio sitoisahau, tulikuwa tunabishana akanimwagia maji usoni, aisee nilikasirika vibaya mno, aligundua nimekasirika akaanza kujiliiza, ugomvi wenyew ulikuwa ni wa kijinga sana, huwaga anafanya mambo kwa hasira alaf badae anaanza kujuta.
2. Anapenda kulia
-Baada ya kukukera, ukianza kuja juu analia, atalia hapo nusu saa nzima, Kitu kidogo tuu analia, na akianza kulia atakukumbushia mambo uliyomfanyia miezi sita iliyopita, na analia kokote hachagui sehemu ya kulia, barabarani, kweny mgahawa, kanisani etc
-Kuna siku tulikuwa kweny mkusanyiko wa watu akaanza kulia hadi watu wakawa wanatuangalia, na ukimbembelea ndo unachochea.
-Yaan ukimkosea analia na akikukosea wewe bado analia yeye, hadi leo bado sijaelewa hio kitu ikoje.
3. Anaongea sana
-Ila sikuiz nishamzoea, akianza kuongea naweka simu chini naanza kumsikiliza, anapenda sana kuniadisia mambo yake, na akianza kuadisia hamalizi, huwa sometimes hadi nasinzia, utakuta ananishtua anasema "mbona unalala au nakuboa?" sasa ole wako useme "Ndio", utazalisha kesi nyingine na mwisho wake ni vilio.
Mazuri yake;
-Anapatana sana na mama yangu.
-Ananipaga ushauri mzuri.
-Ni msafi.
-Pamoja na kuwa mkorofi anajua wapi amekosea na anaomba msamaha
-Ana maisha yake, hapendi kuiga watu.
-Anajiheshimu sana, havai nusu uchi.
-Hatumii pombe, sigara wala kilevi chochote, sio mtu wa kwenda bar/club.
-Ana hofu ya mungu.
Kwani kuna sehemu inamwagika jamani, basi tu ni mpangilio ndiyo tatizo dogo😀Dawa ya buku 8 unaichezea hovyo halafu unasema tatizo dogo 🤣