Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Wakuuu habari za usiku.

Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kutoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.

1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hatashughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms, ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.

2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.

3. Hajichanganya na WATU.
Yeye ni kazini, nyumbani na kanisani. Haendi tofauti na maeneo hayo labda kwenye mambo ya jamii.

4. Ukimkosea hakuulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.

5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.

Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.

Haya ndio baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
Na bado unalalamika?
 
Wangu jamani uwii! Ukikosea analisema jambo kama lilivyo bila hata chembe ya kupepesa macho.

Which is good, but kuna mambo huwa anakosea nashindwa kumface kumchana nampotezea tu nikiamini anajua anachofanya, ila ikija upande wangu nachanwa chanwa bila kuremba kitu. Sasa naona why mimi nambebea madhaifu yake yeye hanibebei? Is it fair?

Ukisafiri ukiwa unarudi lazima alazimishe kuja kukupokea, yaani hii ni lazima sio ombi, tatizo ni kwamba hata umwambie nusu saa kabla hujafika, au lisaa kabisa lazima achelewe, yaani lazima achelewe. Kwahiyo mimi kukaa airport/Au stendi dakika 10/15/20 ni kitu cha kawaida tu. Nilishamshauri hili suala la kunipokea aliache, ntapanda tax, bajaji etc ila hakubali ng'oo ni bora umuue! Nishanuna sana, nishazira sana ila haisaidii. Mwaka wa 9 huu.

Anyways.... Naishi humo!
Kila unapo mwambia asije kukupokea yeye hasikii..
Yaani anajifanya kiziwi sio
 
Yaan ukiona call yake ni kama mama Samia kakupigia no excuse na video call juu hili swala nishaliongea sana kuwa mtu asisipokea simu ni kawaida atakurudia bado sieleweki
Ushawah omba msamaha kuwa umepitiwa na usingizi,ananijua nikiegesha fuvu kitandani basi usingizi unanimeza lakin naambiwa kwanin sijapokea simu inabidi niombe Radhi ,wakati kupitiwa usingizi sio jambo la hiyari inatokea tu umepitiwa jamani
Wivuuuu miwivuuu
Hapa kwenye simu niko pamoja nae,muwe mnapokea simu kwa wakati
 
kitambo nilikuwaga na mmoja hawa wanajifanya hapendi kutiana yani mnaweza kukaa hata weeks hata miezi yeye akugusi hadi wewe umshtue napo unakuta ukimgusa mashauzi kibao yani kifupi ni km hataki tu, weeh!

nikaona isiwe taabu nikatafuta mtu mwingine nikawa namaliza mambo yangu huko huko tena ile unakamua haswa unahakikisha kila angle imeguswa ndo unajirudisha hom tartibu macho makavu mwenyewe unavuta shuka unageukia ukutani hadi kunakucha!

baada ya miezi kadhaa bidada kaona haguswi popote hasumbuliwi tena akili zikarudi akaona hata hii haiwezekani lazma huyu mtu kuna chimbo anamalizia mambo yake ama la biashara imeshaisha hapa.

baada ya hapo ndo tukaanza kuongea lugha moja. yeye ndo akawa ananisumbua hlf mm ndo nadengua kishenzi mamaeeh!


kiukweli hizi ndoa za mke mmoja ni makosa makubwa sana kuruhusiwa. zinawapa viburi sana hawa wanawake na kuleta masaibu mengi kwa wababa.
Hii kitu inatutia zambini wengi aisee

Binafsi ningempata mke ambaye anapenda kuwekana kila siku maisha kwangu yangenyooka sanah hata ningeweza kusave pesa
 
Nakubaliana nawewe kuwa Kila mtu ana sehemu aliyozoea kubinyia lakini nakataa kuwa Kuna sehemu special ya kubinyia na kuwa Kuna uhusiano Kati ya sehemu ya kubinyia na tabia ya mtu
Mkuu kila jambo unalolifanya lina uhusiano wa moja kwa moja na tabia yako sababu hiyo tabia yako ndio inakufanya ufanye ilo jambo.

Sasa tabia yako kwenye yale mambo ya kila siku ndio rahisi zaidi kuyaangalia na kuijua tabia yako. Mfano zoezi zima la kupiga mswaki, kuoga, kula, kutembea, kulala, kuongea n.k haya matendo ya kila siku moja kwa moja ndio tabia yako.

Si umewahi kusikia watu wakisema magonjwa ya tabia mf. Sukari na presha kwanini wanayaita magonjwa ya tabia?, ni kwasababu yanachangiwa na mambo unayoyafanya mara kwa mara.

Hiyo ya kuminya dawa ya meno ni mfano tu wa matendo unayofanya kila siku.

Alafu tube ya dawa ya meno ina sehemu sahihi yakuiminya ambayo ni chini na unatakiwa kuikunja kabla hujaifunga. Soma maelekezo ya namna ya kudispose off iyo tube ya dawa utaona ilo swala. (Kila siku tunajifunza).

Hiyo ipo hata kwenye baadhi ya chupa za maji ya kunywa au juisi, unatakiwa kuiponda then ndio uifunge kifuniko.
 
Mambo ya kula pamoja wote nayapenda, home tangu nakua, wote tunakaa mezani tunapakua msosi pamoja awe mfanyakazi awe nani wote na Kwa wakati mmoja hakuna kusema sijui Mimi ntakula jikoni .
Unakulaje meza moja na wanawake ?
 
Back
Top Bottom