Ni mashirika yapi ya serikali hayapo kwenye mfumo wa Lawson?

Ni mashirika yapi ya serikali hayapo kwenye mfumo wa Lawson?

mimi mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2019
Posts
248
Reaction score
539
Naomba wenye uzoefu na ufahamu wanisaide ni mashirika gani (kwa majina) ambayo hayapo kwenye mfumo wa Lawson.

Mimi ni muanga wa kuacha kazi serikalini mwaka 2012 na inanisumbua kurudi kwenye ajira za serikalini.

Nimeshauriwa na watu nijaribu kuomba kwenye taasisi za serikali ambazo hazitumii mfumo wa Lawson ndio naweza kuingia kwenye ajira na kulipwa mshahara.
 
Kama siyo inshu ya vyeti feki omba urudi tu kazini,ni rahisi sana kama unacheki namba.
Hapana mimi niliachaga kazi muda mrefu nikaenda kusoma masters wakanisimamishia mshahara so wakati huo bado dogo sikuwa naelewa vizuri mambo ya utumishi mimi nikaandika barua kabisa ya kuresign utumishi wa umma halmashauri.

Baadae kurudi ikawa mbinde nilishwai pata kazi mbili nilipo ripot wakaniambia tayari nna cheque number inaonekana niende kushughulikia basi shughuli yangu ikawa inaishia hapo maana niliandika mpaka barua utumishi sikuwai jibiwa haya yamenitokea 2012 mpaka 2015 baada ya hapo nikakata tamaa kabisa nikajikita private ila now naona ikitokea nafasi serikalini niombe ishu ni lawson inatambua
 
Hapana mimi niliachaga kazi muda mrefu nikaenda kusoma masters wakanisimamishia mshahara so wakati huo bado dogo sikuwa naelewa vizuri mambo...
Mkuu hata mashirika, Wakala au Taasisi za Umma zote soon zinaingia Lawson.

Jaribu MSD hawapo lowson ila si unaomba kama ajira mpya maana ukiwaambia uliacha hawakuchukui. Maana watataka kibali kutoka UTUMISHI
 
Mkuu hata mashirika, Wakala au Taasisi za Umma zote soon zinaingia Lawson.

Jaribu MSD hawapo lowson ila si unaomba kama ajira mpya maana ukiwaambia uliacha hawakuchukui. Maana watataka kibali kutoka UTUMISHI
Ndio naomba kama ajira mpya, vipi sehemu nyingine zipi apart from MSD?
 
Tena zamani NAKAZIA! Sasa na wewe acha halafu ndio utaelewa
Nimeona afisa biashara amerudi kazini aliondoka toka 2011,na hii nazungumza ni juzi tu,ukiwa na mtu utumishi jombaa ni fasta
Elewa tu hio fursa saivi haipo, toka TSC ilipoundwa
TSC ni nini? Mbona unazungumza kana kwamba kila mtu ni mwalimu aisee,afisa biashara nae anaenda TSC?
 

JWTZ

POLICE

TISS

PCCB

FIRE

IMMIGRATION

PRISON

Hawapo Lawson

 
Nimeona afisa biashara amerudi kazini aliondoka toka 2011,na hii nazungumza ni juzi tu,ukiwa na mtu utumishi jombaa ni fasta

TSC ni nini? Mbona unazungumza kana kwamba kila mtu ni mwalimu aisee,afisa biashara nae anaenda TSC?
Huo ni mchongo hata ikulu ukiwa na mtu unaingia, mekuambia kuhusu taratibu. Mtoa mada si umeona kahangaika hadi utumishi na bado ishu ngumu
 
Hivi check number inakuwa na details zipi kiasi kwamba ukirudi wanajua ni wewe?
 
Cheti cha FOMU FOO ndo Balaa maana hiyo ni Requirement uchomoi
 
Back
Top Bottom