Ni mashirika yapi ya serikali hayapo kwenye mfumo wa Lawson?

Ni mashirika yapi ya serikali hayapo kwenye mfumo wa Lawson?

Secretariat wanapotangaza wanasema shirika unalotakiwa kuomba.
Hapana wanatanga kwa kada baada ya usaili ndio wanawatawanya washindi kwa waajiri waliopeleka maombia ya kufanyiwa usaili
Yawezekana taasisi na mashirika, H/W wakahitaji wahasibu wote watapeleka vibali vyao vya ajira Sekretarieti. Nayo baada ya usaili inawapa PLACEMENT LETTER wakaripoti kwa waajiri wao kwa ajili ya kukamilishiwa taratibu za ajira
 
Nimeona afisa biashara amerudi kazini aliondoka toka 2011,na hii nazungumza ni juzi tu,ukiwa na mtu utumishi jombaa ni fasta

TSC ni nini? Mbona unazungumza kana kwamba kila mtu ni mwalimu aisee,afisa biashara nae anaenda TSC?
Kuna mtu aliniambia ukikaa miaka zaidi ya mitano inajifuta lakini pia wengi wamerudi kwenye utumishi bila kushikwa, mfano nina jamaa zangu wawili wametoka Magereza wameenda Tanesco na mwingine dereva wa halmashauri.
 
Sasa hivi Serikali haitumii tena mfumo wa Lawson,wamefanya update kuna mfumo mpya.Hata hivyo issue yako sio mfumo bali ni cheki No kwenye utumishi wa umma ukisha kuwa na cheki namba ukaacha kazi badaye kurudi inakuwa mbinde kidogo,na sio tu kurudi kuna wengine wanafanya interview kwenye taasisi zingine wanapata kumbe hawakuomba kibali cha mwajiri badaye akienda kuajiriwa ngoma ina bounce.

By the way huwa inasumbua lakini ukifatilia unaweza rudishwa kazini,nina jamaa zangu 3 wana case kama yako tena nitaulizia walifanyaje.
 
Hicho cheti ni kama ufunguo kwenye suala zima la elimu na ajira
Ukiandika tu Exam namba wanakudata Alfajiri kabla jogoo hajawika, Naomba watumsiwachomw wenzenu km mtu kazunguka na kurudi mwacheni kwani mimi sioni Mantiki ya kuzuia mtu aliyeondoka kurudi. Kuna mtu anasema alienda kusoma kurudi wakamtema hakuna mantiki kwani watu wanapata ujuzi mpya kila leo
 
M
Ukiandika tu Exam namba wanakudata Alfajiri kabla jogoo hajawika, Naomba watumsiwachomw wenzenu km mtu kazunguka na kurudi mwacheni kwani mimi sioni Mantiki ya kuzuia mtu aliyeondoka kurudi. Kuna mtu anasema alienda kusoma kurudi wakamtema hakuna mantiki kwani watu wanapata ujuzi mpya kila leo
Mimi hata mshahara sikupataga lakini walinidumbukiza wakanipa na check No sasa inanitesa nimepata ajira mara mbili ngoma inbounce. Details zangu zipo kwenye mfumo sasa hivi hata sijisumbui kuomba tena.
 
M

Mimi hata mshahara sikupataga lakini walinidumbukiza wakanipa na check No sasa inanitesa nimepata ajira mara mbili ngoma inbounce. Details zangu zipo kwenye mfumo sasa hivi hata sijisumbui kuomba tena.
Pole maana waweza kuta mtu anaomba kitu kingine lkn anawekewa kauzibe tu bila sababu hata hivyo pambana pande zingine mambo yatakuwa sawa
 
M

Mimi hata mshahara sikupataga lakini walinidumbukiza wakanipa na check No sasa inanitesa nimepata ajira mara mbili ngoma inbounce. Details zangu zipo kwenye mfumo sasa hivi hata sijisumbui kuomba tena.
Kwanini hukupata mshahara?na ulishapata check namba
 
Hivi check number inakuwa na details zipi kiasi kwamba ukirudi wanajua ni wewe?
Unique details, nawaza tu.

Hivi akaunti namba za Benki huwa zinaingiliana mteja kwa mteja?(mfano tu huu)
 
Ulikosea kuandika barua ya kuacha kazi,ungechimba kimya kimya tu
 
Naomba wenye uzoefu na ufahamu wanisaide ni mashirika gani (kwa majina) ambayo hayapo kwenye mfumo wa Lawson.

Mimi ni muanga wa kuacha kazi serikalini mwaka 2012 na inanisumbua kurudi kwenye ajira za serikalini.

Nimeshauriwa na watu nijaribu kuomba kwenye taasisi za serikali ambazo hazitumii mfumo wa Lawson ndio naweza kuingia kwenye ajira na kulipwa mshahara.
kaka naomba namba yako
 
Hapana mimi niliachaga kazi muda mrefu nikaenda kusoma masters wakanisimamishia mshahara so wakati huo bado dogo sikuwa naelewa vizuri mambo ya utumishi mimi nikaandika barua kabisa ya kuresign utumishi wa umma halmashauri.

Baadae kurudi ikawa mbinde nilishwai pata kazi mbili nilipo ripot wakaniambia tayari nna cheque number inaonekana niende kushughulikia basi shughuli yangu ikawa inaishia hapo maana niliandika mpaka barua utumishi sikuwai jibiwa haya yamenitokea 2012 mpaka 2015 baada ya hapo nikakata tamaa kabisa nikajikita private ila now naona ikitokea nafasi serikalini niombe ishu ni lawson inatambua
Kabla haujafanya maamuzi yoyote makubwa omba ushauri kwa watu
 
Back
Top Bottom