you're very right but what about the nature of what's asked and give non-speculative answers but still leaving additional qustions? does the subject only exists in our imagination as well or exists in the real world?Moreover, it is possible to have non-speculative answers that will leave more questions. Science is full of convergences like these that are enlightening even as they give us more questions after peeling one layer of the original question.
you're very right but what about the nature of what's asked and give non-speculative answers but still leaving additional qustions? does the subject only exists in our imagination as well or exists in the real world?
Na kama usingekuwepo wewe unahisi ungekua wapi?....na je ungejua ama usingejua kama upo/haupo?Usingekuwepo!
Kati ya yai na kuku kipi kilitangulia duniani
hivi tunapoishi kwe hii
dunia ndo watu pekee au kuna watu wengine kwe sayari zingine pia? ,mie
huwa najiuliza hivi kweli tupo sisi tuu kwe hii hii dunia au kuna viumbe
wengine tusio waona wanatuchora tuu?
hivi tunapoishi kwe hii dunia ndo watu pekee au kuna watu wengine kwe sayari zingine pia? ,mie huwa najiuliza hivi kweli tupo sisi tuu kwe hii hii dunia au kuna viumbe wengine tusio waona wanatuchora tuu?
Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
hivi tunapoishi kwe hii dunia ndo watu pekee au kuna watu wengine kwe sayari zingine pia? ,mie huwa najiuliza hivi kweli tupo sisi tuu kwe hii hii dunia au kuna viumbe wengine tusio waona wanatuchora tuu?
kuna viumbe wengine wanaishi katika sayari zingine wewe fanya utafiti tembelea katika sayari ya mars utajionea mwenyewe
ulienda lini mkuu?
Je roho ya m2 inakufa?au inakuja kuwa nyau,punda,sokwe au?
nilifanya utafiti huo kwa kutumia darubini ila sikuwenda huko mkuu
Je roho ya m2 inakufa?au inakuja kuwa nyau,punda,sokwe au?
DU!!! Ladyfurahia umenipa mtihani mgumu wa mimi kuenda mars kitu ambacho sidhani kama ipo siku kitafanikiwa any way....bt nahic nimeeleweka vibaya swali liko hivi (1).kuna WATU wengune wanaishi kwe sayari zingine pia?(sio viumbe). 2.kuna VIUMBE wengine tusio waona katika dunia hii hii (sio ktk sayri ingine)??? ahsantekuna viumbe wengine wanaishi katika sayari zingine wewe fanya utafiti tembelea katika sayari ya mars utajionea mwenyewe
Masiala tena? Kwan maandiko yanasemaje mkuu kuhusu shetan na mungu?
Je roho ya m2 inakufa?au inakuja kuwa nyau,punda,sokwe au?