Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

 
Wengine watajibu,Mungu hajaribiwi.hivyo hawez kujijaribu.pia hapendi ujinga,hivyo hawezi kufanya kitu cha kijinga kwani hilo jiwe litakuwa la kazi gani??
Mungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?

IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
 
1.Ikiwa duniabitapata kuangushwa kutoka kwenye obit yake,je itadondokea wapi,nini kitatokea.
2.Ikiwa nisingeitwa jina nililonalo,ningekuwa nani au maisha yangu yangekuwaje??

IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…