Ni matumaini yangu Uongozi wa Simba SC umeshaandaa Barua ya Kumfuta Kazi Kochwa wa Hovyo Pablo Franco wa Real Madrid ya Tandale

Penati anakosa Ronaldo,(Bruno jorgino) Salah sembuse Baka, unaonekana sio mpenz wa mpira ila mshabiki tu. Alichokuwa anafanya Inonga ni kuwakumbusha wenzake wawe mchezoni ambacho ni kitu cha kawaida kufanywa na mchezaji anajielewa hasa ukiangalia yeye ni beki wa mwisho hata ukiangalia goli walilofungwa ni uzembe wa M Hussein kushindwa ku mark mfungaji aliyepiga free header, na sio Inonga tu hata Manula huwa anawawakia sana mabeki zake kwahiyo hakuna cha ajabu hapo.

Acha kujifanya mjuaji huna unachokijua kwenye mpira zaidi ya kutafuta sifa tu.
 
we jamaa nilijua unazungumzia kocha kuanza na mabeki sita na viungo wakabaji wawili. halafu offensive wawili tu..

kumbe unazungumzia mapigo ya matuta ambayo huwa ni bahati tu. labda ungesema kuwa Nyoni alitakiwa kuingia dakika za nyongeza zile 4 ili aje apige tuta... halafu ukizungumzia kuwa angepiga fulani na fulani sio sawa, penati hupigwa na aliye tayari kupiga. je kama kocha aliuliza kuwa nani yuko tayari kupiga akina mkude wakajitokeza. na ukisema mafundi ndio wanaanza, nakataa. Mara nyingi tu Ureno wanatolewa kabla Ronaldo hajapiga tuta, maana yake anasubiria kupiga mwishoni. Mwisho kabisa 2012 UEFA fainali upande wa chelsea alianza Mata ambaye hakuwa mpigaji mzuri na akakosa, lakini mwisho wa siku waliofuata wakafunga....
 
Nafkiri msimu ujao utatuma maombi ya ualimu hata Simba C ukajionee ukubwa wa kuwamiliki watoto na waende utakavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…