Ni matumaini yangu Waziri Kabudi utakuwa umejifunza jinsi ya kutoa Hotuba fupi na yenye Mambo yote Muhimu kama aliyoitoa Rais Mwinyi wa Zanzibar

Hili babu linapenda kupayuka. Wakati mwingine linaongea pumba sijui kwanini halijifunzi.
 
We acha tu.Tecno ilikuja mapema sana Tz
Najivunia mno kuwa na Simu ya Tecno tena yenye Hadhi ya chini kabisa ya F1 ambayo sasa Dukani inauzwa Tsh 45,000/ tu pungufu unaongea. Na Wewe Tajiri Hongera kwa kuwa na Simu yako hiyo Kali ya Tsh 5,000,000/ na tena nasikia unazo Tatu hivi.

Hii ndiyo Raha ya JamiiForums thamani ya Mtu Kimaisha inapimwa na Simu aliyonayo na hapa kila ( JF Member ) ni Tajiri ( Mambo Safi ) isipokuwa Mimi tu All - Rounder ambaye ndiyo Masikini Mwandamizi JF nzima.
 
Nimekusamehe πŸ™!

Umetoroka milembe eeh!? Watu wa milembe hebu kujeni huko mteja wenu katoroka anatusumbua! Mje na sylinge gun na kamba kabisa!
Aliyekuzaa alitangulia Kunitoroka huko.
 
Aliyekuzaa alitangulia Kunitoroka huko.
Ngoja wakuijie wakurudishe wodini! Tena inabidi wakunyang'anye na hiyo hand set, isije kuleta majanga😭!


Ngoja tuuzungushe mwili wa mpendwa wetu zenji😭😭😭!
RIP our hero πŸ’” πŸ™!
 
Ngoja wakuijie wakurudishe wodini! Tena inabidi wakunyang'anye na hiyo hand set, isije kuleta majanga😭!


Ngoja tuuzungushe mwili wa mpendwa wetu zenji😭😭😭!
RIP our hero πŸ’” πŸ™!
Imbecile.
 
Mtoto una wivu wewe sijawahi ona...

Waziri mkuu ajae wewe endelea kutembeza maji ya kandoro upate japo buku la kununua ugoro siku ziende...
 
Mkuu kwa chuki hizi umepitiliza kiwango cha chuki za kawaida cha binadamu. huenda unaumwa ila wewe hujui, tafuta wataalam wa magonjwa ya kisaikolojia ukatibiwe!
Acha kuingilia uhuru wa mtu kutoa maoni yake, kwani ulitumwa udandie comment yake?
 
Hakuna kitu, hotuba zake zinaboa mnooo... Ajifunze...
Ukiona All - Rounder ( alias ) Brainiac naeleweka hivi basi jua ya kwamba hata hawa Wanaonielewa ( kama ) Wewe Ndugu ni Brainy kweli kweli. Ni Wapumbavu tu pekee hapa JF ndiyo huwa hawanielewi na hata Threads zangu ambazo huwa ni za Kufikirisha zaidi huwa zinawapa taabu mno na Matokeo yake wanaishia tu kuwa na Visununu ( Vinyongo ) na Mimi.
 
Acha kuingilia uhuru wa mtu kutoa maoni yake, kwani ulitumwa udandie comment yake?
Asante sana kwa Kunielimishia huyo Juha Ndugu. Threads hapa JF zipo nyingi tu Kiherehere chake cha Kusoma hii yangu kimetoka wapi? Nilimuita? Kongole nyingi mno Kwako.
 
Ugonjwa wako upo hapa nilipo-bold...
Tiba: fanya mazoezi ya ku-manage "emotions" zako kwa kufanya meditation mara kwa mara! Una mihemuko sana na hapo unayemtukana hata humfahamu, je majirani zako na marafiki?
Tofauti yako na nguruwe ipo kwenye kutawala hisia zako, kama huwezi basi wewe na mnyama hamna tofauti!
 
ushauri.kuanzia sasa wasiwe kwenye makundi makubwa na limit ya wagen ipubgue huko m ma state house na sanitizers ziwe hapo
 
Anaiponya Zanzibar kwani nani aliifanya iumwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…