Ni matumaini yangu Waziri Kabudi utakuwa umejifunza jinsi ya kutoa Hotuba fupi na yenye Mambo yote Muhimu kama aliyoitoa Rais Mwinyi wa Zanzibar

Absolutely Rubbish!!
 
Atakuwa anakunyima hela akija kwa baba yako ninavyokutafakali wewe!🚘🚘🚘
 
rafiki wa baba yako ni pia ni baba yako kwahy ni sawa na umemkosoa baba yako tu.... anyway,kwa viongozi waliobaki chama tawala Prof.Kabudi namkubali sana huwa hacheki na kima.
 
rafiki wa baba yako ni pia ni baba yako kwahy ni sawa na umemkosoa baba yako tu.... anyway,kwa viongozi waliobaki chama tawala Prof.Kabudi namkubali sana huwa hacheki na kima.
Toto halina adabu hili,maana kama ni rafiki wa baba yake basi hata baba yake yuko hivyohivyo,maana ukitembea na mwizi nawe ni kibaka tuu!
 
Aisee
 
rafiki wa baba yako ni pia ni baba yako kwahy ni sawa na umemkosoa baba yako tu.... anyway,kwa viongozi waliobaki chama tawala Prof.Kabudi namkubali sana huwa hacheki na kima.

Najua ni Mwerevu ila anaongea anaboa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…