Poa karibu sanaNakuja
Umesema kweli sisi ndo tunajua kuhudumia na kutatua changamoto mbali mbaliSema mi napenda kusaidiwa na wazee. Kama una miaka chini ya 30 utashindwa
Njoo pmUhakika waupataje sasa. Unaongelea hela ujue hapa
Perfect combo. Im way over 30Sema mi napenda kusaidiwa na wazee. Kama una miaka chini ya 30 utashindwa
Aisee...! Nina bahati ya kuonekana kijana hivyo?[emoji23] [emoji23] [emoji23]. Sio 25 kweli?
Utakuwa una pesa nyingi labda na sadaka utoi kanisani/ mskitiniJuzi jumatano nilikua namnunulia mtu voucher kwenye max malipo ya elfu 10 nikakosea namba ikaenda kwa mtu mwingine. Leo asubuhi nilikua namtumia dogo hela nikakosea hapa nasubiri ndani ya hizi siku 3 irudishwe hiyo hela maana ilikua ni hela ya dogo nimepewa na mtu nimpe ikapitishwa kwangu.
Kinachoniuma zaidi ni sasa hivi nilikua nalipia tena king'amuzi nimekosea namba elfu 69 yangu imeenda na maji.
Inawezekana nina mawazo sana bila kujijua ndo maana nakosea sana au nimekua mzembe tu? Maana hali Hii si kawaida kabisa
Sadaka uwa unatoa??Sio kweli
Mimi juzi nimetuma 990,000/= kwa intension ya kumtumia mtu yupo kenya nimeshindwa ata kufikiria itahitajika code number..uzuri aliyeipata hajasajiliwa..ayo ni mawazo..yan una mambo mengi kichwan na hujafanya refleshment mda mrefu..Juzi jumatano nilikua namnunulia mtu voucher kwenye max malipo ya elfu 10 nikakosea namba ikaenda kwa mtu mwingine. Leo asubuhi nilikua namtumia dogo hela nikakosea hapa nasubiri ndani ya hizi siku 3 irudishwe hiyo hela maana ilikua ni hela ya dogo nimepewa na mtu nimpe ikapitishwa kwangu.
Kinachoniuma zaidi ni sasa hivi nilikua nalipia tena king'amuzi nimekosea namba elfu 69 yangu imeenda na maji.
Inawezekana nina mawazo sana bila kujijua ndo maana nakosea sana au nimekua mzembe tu? Maana hali Hii si kawaida kabisa