Ni mawazo yamenizidi au uzembe?

Ni mawazo yamenizidi au uzembe?

pia nadhani utakuwa una pesa nyingi ndio maana unakosea.. kwa maskini sidhani kama anaweza kukosea
 
Juzi jumatano nilikua namnunulia mtu voucher kwenye max malipo ya elfu 10 nikakosea namba ikaenda kwa mtu mwingine. Leo asubuhi nilikua namtumia dogo hela nikakosea hapa nasubiri ndani ya hizi siku 3 irudishwe hiyo hela maana ilikua ni hela ya dogo nimepewa na mtu nimpe ikapitishwa kwangu.
Kinachoniuma zaidi ni sasa hivi nilikua nalipia tena king'amuzi nimekosea namba elfu 69 yangu imeenda na maji.
Inawezekana nina mawazo sana bila kujijua ndo maana nakosea sana au nimekua mzembe tu? Maana hali Hii si kawaida kabisa
Utakuwa una pesa nyingi labda na sadaka utoi kanisani/ mskitini
 
Juzi jumatano nilikua namnunulia mtu voucher kwenye max malipo ya elfu 10 nikakosea namba ikaenda kwa mtu mwingine. Leo asubuhi nilikua namtumia dogo hela nikakosea hapa nasubiri ndani ya hizi siku 3 irudishwe hiyo hela maana ilikua ni hela ya dogo nimepewa na mtu nimpe ikapitishwa kwangu.
Kinachoniuma zaidi ni sasa hivi nilikua nalipia tena king'amuzi nimekosea namba elfu 69 yangu imeenda na maji.
Inawezekana nina mawazo sana bila kujijua ndo maana nakosea sana au nimekua mzembe tu? Maana hali Hii si kawaida kabisa
Mimi juzi nimetuma 990,000/= kwa intension ya kumtumia mtu yupo kenya nimeshindwa ata kufikiria itahitajika code number..uzuri aliyeipata hajasajiliwa..ayo ni mawazo..yan una mambo mengi kichwan na hujafanya refleshment mda mrefu..
 
Back
Top Bottom