Ni mawazo yamenizidi au uzembe?

We acha tuuh..! Si kwa chura ile juliet nilijua nitaporwa tuuh..!
Sasa kama ulijuwa utaporwa kwanini ufikie hatuwa ya kutaka kujimaliza siungefanya maandarizi sehem fulani ili siku ukiporwa tayali unakuwa na sehem nnyingine
 
Njoo nikuombee , hilo pepo litoke
 
Kama hujui kama ni mawazo ama lah means huna mawazo so itakuwa ni uzembe ama bahati mbaya imetokea tu kuna kipindi unajikuta mtu una bahati mbaya kwa mambo fulani ttuu..
 
Dah...shukuru umeumbwa mwanamke....ingekuwa kwa mwanaume hiyo koseakosea ingekuletea aibu kubwa [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…