Ni mbinu gani huwa zinatumiwa na viongozi wa nchi za kiafrika kwenda kuomba hata msibani

Ni mbinu gani huwa zinatumiwa na viongozi wa nchi za kiafrika kwenda kuomba hata msibani

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
kati ya vitu vinavyonishangaza ni kitendo cha viongozi wa nchi za kiafrika kwenda kutembeza bakuri huko kwa mabeberu hata kama na wao vyuma vinakuwa vimewakazia

nakumbuka mwaka 2007 kipindi kile cha financial crisis ya kule marekani mzee wa msoga hakukoma kwenda kuomba omba pesa kule kwa Obama

Hata sasa ukifuatilia nchi nyingi za mabeberu uchumi wao umeharibiwa vibaya na covid-19 plus vikwazo walivyojiwekea wenyewe juu ya Urusi lakini cha ajabu bunge limekaa huko Dodoma likipitisha budget ambayo asilimia zaidi ya 40 inategemewa kuchangiwa na hawa hawa jamaa ambayo kwa sasa vyuma vimewataiti kwelikweli


Sasa najiuliza ni mbinu gani ambazo serikali za kiafrika zinatumia kwenda kuomba msaada misibani huko Ulaya
 
kati ya vitu vinavyonishangaza ni kitendo cha viongozi wa nchi za kiafrika kwenda kutembeza bakuri huko kwa mabeberu hata kama na wao vyuma vinakuwa vimewakazia

nakumbuka mwaka 2007 kipindi kile cha financial crisis ya kule marekani mzee wa msoga hakukoma kwenda kuomba omba pesa kule kwa Obama

Hata sasa ukifuatilia nchi nyingi za mabeberu uchumi wao umeharibiwa vibaya na covid-19 plus vikwazo walivyojiwekea wenyewe juu ya Urusi lakini cha ajabu bunge limekaa huko Dodoma likipitisha budget ambayo asilimia zaidi ya 40 inategemewa kuchangiwa na hawa hawa jamaa ambayo kwa sasa vyuma vimewataiti kwelikweli


Sasa najiuliza ni mbinu gani ambazo serikali za kiafrika zinatumia kwenda kuomba msaada misibani huko Ulaya
Hahahahaaa!
Tatizo la Afrika ni kukosa ukombozi wa kifikra.
Na anapotokea kiongozi mwenye maono tofauti anapingwa. Mbaya zaidi wenye akili nao wanajikuta wameunga mkono hoja za mabeberu!
 
Back
Top Bottom