Ni mechi gani ya CAF champions 2023 Yanga imecheza na kuzidiwa? Ukiacha ile ya CR aliyofanya mistake akufungwa?

Ni mechi gani ya CAF champions 2023 Yanga imecheza na kuzidiwa? Ukiacha ile ya CR aliyofanya mistake akufungwa?

Ukweli lazima usemwe mkuu, yanga si ilibezwa ikaambiwa yamwisho kwenye kundi sasa imewaprove wrong kabisa kuwa sio kibonde
Yanga nyinyi ndio mlikuwa na midomo mirefu baada ya kuona Simba kapata droo na Al-Ahall nje ndani mkasema Al-Ahall ni unga watapigwa nje ndani, Sasahivi baada ya kuona mambo magumu mnaanza kujifariji eti Yanga alitabiriwa kuwa kibonde,pambaneni mkafike finally kama mwaka jana acheni blablaa.
 
Mechi ya belouzidad yanga aliongoza kwa asilimia kubwa possession na passes ni makosa tu ya ulinzi ndiyo yalileta kilichotokea.
 
Mechi ya belouzidad yanga aliongoza kwa asilimia kubwa possession na passes ni makosa tu ya ulinzi ndiyo yalileta kilichotokea.
La sivyo asingefungwa huyuu
 
Yanga nyinyi ndio mlikuwa na midomo mirefu baada ya kuona Simba kapata droo na Al-Ahall nje ndani mkasema Al-Ahall ni unga watapigwa nje ndani, Sasahivi baada ya kuona mambo magumu mnaanza kujifariji eti Yanga alitabiriwa kuwa kibonde,pambaneni mkafike finally kama mwaka jana acheni blablaa.
Tuombeane mkuu tuiwakilishe nchi yetu vyema
 
Back
Top Bottom