Ni member gani JF huwa akileta uzi wa aina flani huwa anautendea haki?

Bujibuji, mshana jr, Faiza namajibu yake na wengine majina nimeyasahau
 
Yeriko nyerere
Pasco
Faiza fox
Mwanahabari huru
Rucici huyu sina hakika kama nimepatia jina lako
 
Kassie, huyu dada namkubali. Kama nimekosea spelling anisamehe bree! !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…