Ni member gani JF huwa akileta uzi wa aina flani huwa anautendea haki?

Ni member gani JF huwa akileta uzi wa aina flani huwa anautendea haki?

samcezar......lara 1........mshana jr.........
 
Mi hata huwa siangalii ID zenu,mi huwa na-concetrate kwenye ujumbe!....
 
Wakuu hope mko poa,

Kuna watu humu JF huwa wanapatia sana wakileta nyuzi za aina flani namaanisha akileta nyuzi za namna hiyo uwa zinavutia sana kwa upande wangu ni hawa hapa;

1: Mshana Jr huyu jamaa kwa mada za kichawi na zakutumia lugha za picha huwa anaweza sana kama umezoea vitu vyepesi huwezi kumuelewa kabisa ana mada dizaini kama zakufikilika hivi.

2: Stunter [emoji1] [emoji1] huyu jamaa nyuzi ambazo huwa anazipatia ni za kuwakandia mademu hasa masistadu na alishalijua hilo ndio maana anakazia hapohapo,

3: Chief Mkwawa huyu maswala teknolojia hasa simu namkubali sana usiombe akawa ameandika mapungufu ya simu ulionayo anatoa data mpaka anaboa japo huwa ni ukweli mtupu.

4: Warumi huyu mtu mada za chini ya kapeti kutoka kwa wasanii nampendeaga za ubuyu wa mjini huwa anazipatia sana sijui huwa anaztoa wp japo kapunguza siku hizi.

The Bold dha huyu jamaa hapana chezea mada zake zote ni kali sijui anaztoaga wapi.

Endelea na wewe mkuu watu unaowakubali kwa mada zao za aina flani.

Lizaboni
 
Kuna member wanaleta uzi umeshiba haswa na unatia hamasa kuusoma mpaka kukoment.
Respect kwa wale wote wanaonegesha majukwaa ya Jamii Forum kwa kuleta vitu vilivyoshiba na kuifanya JF kuwa jukwaa lenye mvuto.
 
Kuna mwanamke mmoja tu humu ndani ana uwezo wa kipekee halafu ni smart kinoma noma
lara 1

Hao wanaume watasifiwa na wanawake teh teh
 
Back
Top Bottom