Ni member(s) gani wa JF ungependa kukutana naye

GENTAMYCINE. Nataka nimuone maana hataki kupingwa ukimpinga hata kwenye uzi unaambulia matusi ya kutosha
Halafu nahisi yupo kwenye ban maana ni muda sijamuona humu
Jamaa ID nyingi so yupo humu ndani bado.
Kuna ID yake mpya alikuja nayo then watu wakamshtukia kwa uandishi wake, asee alimwaga nyongo za hatari kwa wote waliomtajia jina la GENTAMYCINE

Distributed Denial-of-Service
 
Finally.. Huku mambo yanaenda + afya njema.
Tunakunyima Loshoroo.

Karibu sana TZ

Distributed Denial-of-Service
 
Kwa hiyo kazi tz umeacha lini na wewe mtoto kwenye ile kampuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…