Mke wangu mjamzito yukwapi siku hizi??
Tunaotumia Tecno hatuna hela?Huwa nashangaa unakutana na mtu anakwambia hapendi ujinga wakati huo huo unamkuta anatumia Tecno Spark
Mkuu shukran sana kunileta hapa
Ebhana hiyo Avatar ya hiyo drama Emperor of the Sea ni kiboko ndo inspiration movie yangu kuhusu hussling naikubali sana hata kwa PC sijawahi ifuta na nimeiangalia mara nyingi tangu 2011..much respect mzeeMkuu shukran sana kunileta hapa
Ahahahah..Pamoja sana mkuu..Ebhana hiyo Avatar ya hiyo drama Emperor of the Sea ni kiboko ndo inspiration movie yangu kuhusu hussling naikubali sana hata kwa PC sijawahi ifuta na nimeiangalia mara nyingi tangu 2011..much respect mzee
π€£π€£π€£π€£π€£Hiki kivulana Sharobaro la jf kindezi sana
Mjinga tu mmojaHuyo Bia yetu aje basi tumuone tusiomjua tumjue jamani
Mkuu unaogopa ID fake! πππKuna mdada flan nikimtaja atakuja na mitusi kama yooote saivi Senior expert member alipoanza alikuwa kero kila uzi yupo na alikuwa mbishi balaa, saivi kanyooka japo anajua kila kitu na mbishi hatari.
Huyu mtu ana matusi sanaMkuu unaogopa ID fake! πππ