Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

Kwa gentlemen nawaona wafuatao;
@Poor Brain
@Hammaz
@Intelligent businessman
@100 others
@Proved .
Shukrani Bw. Kosugi

Binafsi, nakukubali na nakuelewa sana. Wewe ni miongoni mwa watu wachache humu Jf ambao Mungu amewatunuku mnajua mambo mengi. Kiukweli tunanufaika na uwepo wenu.

Again-shukrani Mkuu! Pamoja sana 🙏
 
Jf hakuna mdada asiye na vigezo, wote ni visu halafu wa kishua hata wewe kama ni mdada tu ujue wewe ni kisu halafu wa kishua
FB_IMG_1706509458060.jpg
 
Back
Top Bottom