Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Kuashiria bando linaishaHabari wakuu,
Binafsi kila nikipokea muamala, muda si mrefu unaingia ujumbe wa mtandao husika wa kunitaka nicheze kamari. utaona ghafla '' Ndugu mwenye namba 0713 xxxxxx, ushaandaliwa TZS 800,000,000 jaribu leo. NA jumbe nyingi mfano wa hizi.
JE, ni ujumbe gani hauupendi kabisa utumiwe kwenye simu yako?
Mbona hizi msg mimi sipati? Au wameniruka?[emoji1787][emoji116]
View attachment 1966073
Zinaingia kwa mfululizo voda, sender anaitwa "CHANJO"Mbona hizi msg mimi sipati? Au wameniruka?