Ni meseji gani unayotumiwa kwenye simu ila hupendi?

Ni meseji gani unayotumiwa kwenye simu ila hupendi?

Sms ya crdb kunikumbusha nisi gawe password yangu.inan kera sana mda huo nawaza lbd kuna baraka imeni shukia kumbe ujinga tu
 
Mzee rashidi mganga mashuhuri anayetibu na kurudisha nyota na bla bla blaah kibao....wanakera kinoma
 
Hii hapa

Screenshot_20211010-222052_Messages.jpg
 
Benki miaka 10 sijafanya nao muamala, wanantakia wiki ya wateja
 
Back
Top Bottom