Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bofya mbili hakuna namna071*** Donge nono la Sh8,000,000 Kutolewa kwa mshindi mmoja tu,Hutaki ushindi? Jibu maswali ubahatike!Waziri mkuu 1)Majaliwa 2)Mbowe!! Jibu 1 au 2
Hapana Aiseebofya mbili hakuna namna
UtapeliMdodgo wangu wakike anapanda sana kunitumia haya maSms sinui ndio kujali au vipi
View attachment 1966182
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asbuh naamka nakutana na message ya M PESA voda wamenizawadia tsh20
[emoji23][emoji23]Mdodgo wangu wakike anapanda sana kunitumia haya maSms sinui ndio kujali au vipi
View attachment 1966182
Wataifunga kabisa muda si mrefu. Utakuwa huna uwezo wa kuunga kifurushi chochote, kuweka vocha kwa njia yoyote, kupokea msg, kuangalia salio nk.Hawakusumbui na sms uchwara za kutishia kukufungia?
Sms isiyo na mashiko kwa ujumla zinaniboa, nambie, my, jibu swali uwe milionea, za teenagers ( hapa unatamani awe mbuzi umnywe supu tu) fambastic!
Haina neno kaka, nilishamuelekeza mtu ili wasinifungieWataifunga kabisa muda si mrefu. Utakuwa huna uwezo wa kuunga kifurushi chochote, kuweka vocha kwa njia yoyote, kupokea msg, kuangalia salio nk.
Ukitumiwa pesa itaingia lakini hutapata msg, hiyo pesa hutaweza kuifanya chochote labda umwambie aliyetuma airudishe.
Yaani hata menu ya tigopesa hutaweza kuingia.
Kwa kifupi access za huduma zote za mtandao na nje ya mtandao mfano menu ya bank, ving'amuzi, menu za kubeti zitakufa kikamilifu.
Utakachoweza kwenye hiyo laini yako ni kupokea simu tuu.
SAMAHANI
Huu ujumbe nilikuwa namjibu Faana aliyesema haweki vocha mwezi wa 9 huu, bahati mbaya nime-quote kwako.
Ndugu Mteja, katika kusheherekea Wiki ya Huduma kwa Wateja, tunakushukuru kwa kuichagua Tigo. Tunafurahi kuendelea kukuhudumia.Heri ya Wiki ya Huduma kwa Wateja
Mbona hizi msg mimi sipati? Au wameniruka?
Sio habaAsbuh naamka nakutana na message ya M PESA voda wamenizawadia tsh20