Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana; kwenye mkutano huwa kuna mambo mengi ya kufurahisha kama vile vitafunio na vinywaji.Mkuu
Mbowe anatabasamu anajua ccm wametema ndoano katiba itapatikana!!!
Unauliza jibu?Tunasikia tu maridhiano lakini hatuambiwi juu ya mfarakano uliopo?
Huyu mwanasheria mkuu wa serikali anahusika vipi?
View attachment 2233664
Naona unakwepesha makusudi kiujanja mjadala wa Katiba Mpya, unataka wote tutembee na kauli mbiu ya kipenzi chenu "Katiba Mpya isubiri".Unauliza jibu?
Waulize walioikimbia nchi na kuwa wakimbizi kwa wazungu walikikimbia nini?
Kuna wanasiasa, wafanya biashara walioikimbia nchi, umejiuliza kwanini?
Suala la katiba mpya linatumiwa kufunga watu midomo tu. Hao wanaolipia debe akina Mbowe, wote system hao, hawana lolote.
Katiba siyo inayoendesha nchi, katiba ni chombo tu kinachotumiwa kukufanya uwe mtumwa daima. Wenyewe walioanzianzisha hizo katiba hawana habari nazo. Ni ujinga tiu.
Watanzania walio wengi, walidhani wanapelekwa shlue wafutwe ujinga, hawakuelewa kuwa wanapelekwa shule wajazwe ujinga. Nashukuru sana wazee wetu sisi Waislam kung'ang'ana kutupeleka madrassa kuanzia wadogo, ndio "chekechea zetu, walituokoa na kuwa "brain washed" na hata wale tuliopelekwa shule za secular hazikutuumiza sana bongo zetu kuwa completely brain washed mpaka zikawa dead kama wajinga wengi waliojazwa ujinga tunavyowaona humu.
Ndio ujue kuwa hujui, wewe utapiga kelele tu hapa jukwaaniTunasikia tu maridhiano lakini hatuambiwi juu ya mfarakano uliopo?
Huyu mwanasheria mkuu wa serikali anahusika vipi?
View attachment 2233664
Ona huyu nae, enzi za Magufuli uliufyata kabisaUnauliza jibu?
Waulize walioikimbia nchi na kuwa wakimbizi kwa wazungu walikikimbia nini?
Kuna wanasiasa, wafanya biashara walioikimbia nchi, umejiuliza kwanini?
Suala la katiba mpya linatumiwa kufunga watu midomo tu. Hao wanaolipia debe akina Mbowe, wote system hao, hawana lolote.
Katiba siyo inayoendesha nchi, katiba ni chombo tu kinachotumiwa kukufanya uwe mtumwa daima. Wenyewe walioanzianzisha hizo katiba hawana habari nazo. Ni ujinga tiu.
Watanzania walio wengi, walidhani wanapelekwa shlue wafutwe ujinga, hawakuelewa kuwa wanapelekwa shule wajazwe ujinga. Nashukuru sana wazee wetu sisi Waislam kung'ang'ana kutupeleka madrassa kuanzia wadogo, ndio "chekechea zetu, walituokoa na kuwa "brain washed" na hata wale tuliopelekwa shule za secular hazikutuumiza sana bongo zetu kuwa completely brain washed mpaka zikawa dead kama wajinga wengi waliojazwa ujinga tunavyowaona humu.
Na kesi za kubambikia,za baada na kabla ya uchaguzi Kwa wanachadema pamoja na kutofunguliwa kesi Kwa shambulio la makamu mwenyekiti,yote hayo unaona hayahitaji maridhiano,achilia mbali waliopotea na wasiojulikana walipo.Kama swali lako SII la kinaa basi pengine huna macho masikio pengine hata akili🤔Tunasikia tu maridhiano lakini hatuambiwi juu ya mfarakano uliopo?
Huyu mwanasheria mkuu wa serikali anahusika vipi?
View attachment 2233664
Sasa suburiri mliopelekea Hadi maridhiano yanatafutwa Kwa kesi michongo,uonevuna manyanyasi Kwa wengine,hayo mnayoona ni Kuni za kuwabanika zinaandaliwa Kwa ajili yenu🤸🎺Hata haieleweki mkuu wengine tunaona mapicha picha tu na maclip watu wanakutana huko kwa miavuli ya vyama na serikali lakini wananchi hawaambiwi kilichojadiliwa wala muafaka wenyewe.
Hatuambiwi nini kilitokea kupelekea hayo maridhiano.
Watambue kwamba vyama na serikali sio mali yao binafsi hivyo wanavyokutana ni kwa niaba yetu sisi wananchi ambao ndio wenye mamlaka yote.
Wanapaswa watuambie nini kinaendelea na sio kujibinafsishia vyama na serikali.
CCM sijui ni kwa vikao gani vya chama lilipitishwa azimio la kufanya maridhiano na CHADEMA.
Na CHADEMA sijui ni kwa vikao gani vya chama chao lilipitishwa azimio la kufanya maridhiano na CCM.
Kinachoonekana hapo ni utashi tu wa viongozi wa hivyo vyama jambo ambalo sio sahihi kwani hivyo vyama si mali yao binafsi bali ya wanachama hivyo maamuzi yoyote ya chama yanapaswa kutokana na vikao halali vya chama ambapo wanachama wanashirikishwa na wote kuridhia.
Nikisoma hoja za Mataga humu. Yaonyesha hampendi aina ya siasa za mama za kuuma na kupuliza .Tunasikia tu maridhiano lakini hatuambiwi juu ya mfarakano uliopo?
Huyu mwanasheria mkuu wa serikali anahusika vipi?
View attachment 2233664
Kama maridhiano yanahusisha vyama vya CCM na Chadema ni vikao gani vya vyama hivyo vyama vimetambua haja ya kuwepo kwa maridhiano.Sasa suburiri mliopelekea Hadi maridhiano yanatafutwa Kwa kesi michongo,uonevuna manyanyasi Kwa wengine,hayo mnayoona ni Kuni za kuwabanika zinaandaliwa Kwa ajili yenu🤸🎺
Ni matendo na maneno ya nyie wenye chuki na visasi Kwa wengineKama maridhiano yanahusisha vyama vya CCM na Chadema ni vikao gani vya vyama hivyo vyama vimetambua haja ya kuwepo kwa maridhiano.
Kufanyika kwa hayo maridhiano.
Agenda za kujadiliwa.
Au ni baada ya kukutana tu Samia na Mbowe wakaamua yafanyike hayo bila kushirikisha vyama vyao??
Huko ni kuburuzana na ni dalili za udikteta.
Maazimio yoyote ya vyama yanapaswa kufanyika kwa vikao halali vya vyama na sio utashi tu wa wenye viti wa vyama husika.
Na Bado itawauma sana sanaKama maridhiano yanahusisha vyama vya CCM na Chadema ni vikao gani vya vyama hivyo vyama vimetambua haja ya kuwepo kwa maridhiano.
Kufanyika kwa hayo maridhiano.
Agenda za kujadiliwa.
Au ni baada ya kukutana tu Samia na Mbowe wakaamua yafanyike hayo bila kushirikisha vyama vyao??
Huko ni kuburuzana na ni dalili za udikteta.
Maazimio yoyote ya vyama yanapaswa kufanyika kwa vikao halali vya vyama na sio utashi tu wa wenye viti wa vyama husika.
Kama ulishindwa kuujua tangu 2015 leo ukiujua utakusaidia niniTunasikia tu maridhiano lakini hatuambiwi juu ya mfarakano uliopo?
Huyu mwanasheria mkuu wa serikali anahusika vipi?
View attachment 2233664
Unachekesha sana mama. Ndio maana unaandika pumba kila siku kumbe bado madrasa ipo mkichwa.Unauliza jibu?
Waulize walioikimbia nchi na kuwa wakimbizi kwa wazungu walikikimbia nini?
Kuna wanasiasa, wafanya biashara walioikimbia nchi, umejiuliza kwanini?
Suala la katiba mpya linatumiwa kufunga watu midomo tu. Hao wanaolipigia debe akina Mbowe, wote system hao, hawana lolote.
Katiba siyo inayoendesha nchi, katiba ni chombo tu kinachotumiwa kukufanya uwe mtumwa daima. Wenyewe walioanzianzisha hizo katiba hawana habari nazo. Ni ujinga tiu.
Watanzania walio wengi, walidhani wanapelekwa shlue wafutwe ujinga, hawakuelewa kuwa wanapelekwa shule wajazwe ujinga. Nashukuru sana wazee wetu sisi Waislam kung'ang'ana kutupeleka madrassa kuanzia wadogo, ndio "chekechea zetu, walituokoa na kuwa "brain washed" na hata wale tuliopelekwa shule za secular hazikutuumiza sana bongo zetu kuwa completely brain washed mpaka zi kawa dead kama wajinga wengi waliojazwa ujinga tunavyowaona humu.