FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Unajiongoza mwenyewe na Allah pekee ndie wa kukuongoa utapomuhitaji.Kama Katiba haiongozi nchi sharia ndio inaongoza??
Gubu lako ni kwa sababu mahakama ya kadhi haitajwi kwenye katiba hii au mpya.