R Mbuna
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,283
- 5,371
Mwanzo nilidhani nilidhani ni uturi( wat wa pwani hasa wanawake huwa wanatumia kujifukiza ili wanukie mwili na ngu zao) , Siku moja kuna rafiki yangu alikuja nayo nyumbani kwetu akaniambia onja mimi nilichukua kidogo sana nitia mdomoni nikameza , Nilitapika sana na nilisikia kizungu zungu kutwa nzima siku ile.
Ila nilipata uelewa kuwa sio kila kitu cha kuonja na kwa mtindo ule ndio vijana wengi hua mwanzo wa kujiingiza kwenye utumiaji wa madawa na mihadarati mingine kwa kufuata ushawishi wa marafiki.
Ila nilipata uelewa kuwa sio kila kitu cha kuonja na kwa mtindo ule ndio vijana wengi hua mwanzo wa kujiingiza kwenye utumiaji wa madawa na mihadarati mingine kwa kufuata ushawishi wa marafiki.