matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
watz tunasimangwa Kwa kutotembea nje ya nchi. Naamini humu Tutakuwa tumebobea Ktk kutembea ndani ya nchi.
binafsi nimeishi na nimetembea mikoa 14 tz Bara na Mmoja Zanzibar.
nilichojifunza
Ni DSM tu ambapo watu huwahi kuamka asubuhi, wanatembea chapchap, watu wazima hawataki shkamoo.
binafsi nimeishi na nimetembea mikoa 14 tz Bara na Mmoja Zanzibar.
nilichojifunza
Ni DSM tu ambapo watu huwahi kuamka asubuhi, wanatembea chapchap, watu wazima hawataki shkamoo.