kabugira
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 1,186
- 659
Na yeye si wa huko!!!Jane we umejuaje kuwa hizo sehemu zao ziko hivyo?!..[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yeye si wa huko!!!Jane we umejuaje kuwa hizo sehemu zao ziko hivyo?!..[emoji23]
Mkuu unamaanisha WALUGURU et?Aisee kuna hawa waruguru WA morogoro aisee wana culture flani ya kigodoro aisee inaleta umaskini kwenye kaya zao halafu wala hata hawashutki walikua wanshangaza sana
Of course ni culture ya kishenzi sana kwenye jamii no future, poorer families, poor social economy,
High rate of HIV, poor and sometimes absence of social particularly family control in most cases
Wanachojua wao ni ngono tu na pombe vijana kucheza poor na mpira elimu ziro kabisa waha jamaa wao na culture yao ya kigodoro ni bure kabisa
Sasa hapo cha kushangaza kipi tenaVilevile, Umasaini hapo.
Watoto wakikutana na wakubwa zao. Huwa wana desturi za kuinama kisha kichwa kukiinamisha kwa mkubwa wake, mkubwa wake huweka mikono kichwani kwa Mdogo huku maongezi yakiendelea. Baada ya tukio hilo LA sekunde 45-60.
Wakiwa na maana mkubwa anampatia Baraka kijana wao
Nimekupenda bure Jane, njoo pm tupige soga mrembo.Mm muha ndo nakwambia
Wewe vipi? Kimevutwa?Mm muha ndo nakwambia
Yaar namaanisha hao hao jamaa WA Moro around mzumbeMkuu unamaanisha WALUGURU et?
invest what you are willing to lose![emoji1][emoji1][emoji1]Waha wakigoma. Wanavuta vidude kwenye papuchi na kuwa marefuuuu
Hali yakuwa wenzetu wanakata
Kumbe wamasai hawali samak wala kuku wala mayai asante kwa hii elimu sijawahi kujua kabla
Sasa hao kuku wanamfugia nani na wao hawali
Aah wapi, wengi ndio nitolee hivyo. Unatafuta maisha tangu mtoto yuko msingi hadi anamaliza sekondari!!!!Labda ni kwa sababu ya kutafuta maisha kwanza then baadae wanawafuata watoto wao
Duh....hata mimi nimekutana nayo hi....nikajua labda ugonjwa....Waha wakigoma. Wanavuta vidude kwenye papuchi na kuwa marefuuuu
Hali yakuwa wenzetu wanakata
Watoto wanapata tabu wao wako mjini wanakula maishaAah wapi, wengi ndio nitolee hivyo. Unatafuta maisha tangu mtoto yuko msingi hadi anamaliza sekondari!!!!
Wanadai wanawaacha watoto wawalee bibi na babu zao.
Yaani acha tu, ni kama watoto wanajilea wenyewe tu.Watoto wanapata tabu wao wako mjini wanakula maisha
Halafu bibi na babu endapo watafariki sijui wanawafata watoto wao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Saivi wanakula adi dagaa.
Unacheza na magu.