Ni mimi peke yangu natamani maiti yangu ichomwe moto nikifa badala ya kuzikwa ardhini?

Ni mimi peke yangu natamani maiti yangu ichomwe moto nikifa badala ya kuzikwa ardhini?

Una share same Minset na mimi...!!

Mimi natamani majivu yangu yaje yatupwe katikati ya ziwa Tanganyika....!!
 
Hauko peke yako, ni mawazo mujarabu kabisa kuliko kupitia process za kuoza na kuliwa na mafunza(japo nadhani hauwi katika hali ya ku-feel chochote) but that feeling ya kuihisi utaoza na kuliwa na funza it's so disturbing.
mambo yamalizike fasta kwa moto, majivu yapeperushwe sehemu ya asili
 
Sasa adhabu ya kabri utaipataje? Alafu siku ya mwisho utafufuliwaje akati ushakua majivu? Bora ingebaki mifupa!

Alisikika mzee mmoja wa Gaza.
 
Unapozaliwa tayari kuna risiti ya kifo huandaliwa, Kifo ni uhakika hakiwezi kukwepeka.

Utaratibu uliozoeleka hapa kwetu mazishi hufanyika kwa staili ya kuumezesha udongo mwili, kaburi litachimbwa mwili utawekwa ndani yake kisha kufukiwa.

Lakini mimi nimekuwa na approach tofauti kabisa, ningependa nikifa ikiwa mwili wangu utapata bahati ya kupewa heshima ya mwisho basi nichomwe moto mpaka majivu.

kuliko kupitia process za kuoza na kuliwa na mafunza (japo hauwi katika hali ya kuhisii chochote) ila yale mawazo ya kuhisi utaoza na kuliwa na funza inakera
Tunataka uoze dunia ipate mbolea, wewe unataka tukate misitu tupate kuni tukuchome?
 
Back
Top Bottom