Ni mimi pekee ndiyo nina maamuzi ya kijinga?

Mkuu Kwa sisi wanaume uki sum up Kila tunachofanya hapa Duniani mwisho wake ni Ili tule pussy kwa utuo,Jiulize kuna umuhimu Gani wa kufanya mambo makbwa Dunia hii kama mwisho wa siku hupati manzi?Uko sawa mkuu,itunze iliyobaki usubirie repeat again mechi.
 
Si pekeako. Mm mwenyewe mwanzoni mwa hii 2024 nimetoka zanzibar mpk mombasa kenya kwa ajili ya mwanamke wa kibajun nimetumia karibu 1 million hapa bado kuna deni nadaiwa na mambo tele ya muhimu ningeweza kufanya kwa pesa hio lkn sikufanya nikaenda kuiteketeza huko. Japo huifikiria lkn nimepata kuonana nae pia nimeweza kutembelea mji huo
 
Sitosahau nilipata pesa za korosho milion 4 na mama yangu akanipa million 6 jumla ikawa milion 10 na lengo ilikuwa nifungulie biashara halafu wakati nipo kwenye mchakato wa kufungua nikapata binti wa chuo cha cotc mtwara mtoto wa kidigo alikuwa mzuri yule balaa,,,akaniambia bado siku tatu chuo wafunge likizo ya mwezi mmoja nayeye hataki kwenda kwao anamisi sana twende tukatembee miji tofauti aisee yule demu ni mla bata mno sijui alikuwa anatumia dawa gani, nilijikuta natoa tu pesa hata kwenye mambo yakipuuzi tulitembea miji tofauti Tanzania mpaka visiwani nako tulifika halafu alivyo mjinga hataki tulale lodge yeye ni mwendo wa hotel tu,,,nakuja kustuka ni pale bimkubwa aliponipigia simu kuuliza nimefikia wapi kwenye biashara nikicheki kiasi kilichobaki ni kama milion 4 aisee nilivurugwa mno
 
Hakuna dawa ni kakuzidi akili
 
Kuna sisi amabao tunatauta hata mtaji wa laki mbili tusongwshe maisha ila kuna wana wanatumia milioni lufurahisha mwanamke, kweli maisha hayako fair
 
Itakua bi mkubwa alikua anasumbuliwa na ndoto za ajabu, za dragon mfyonza pesa akaona akustue
 
Nimegomea kulipa Kodi ya fremu shilingi elf 5 nakifanyaga kama stoo hivi Basi bna jpili juz na ya week Ile nilitumia laki Moja jumla kwa kunywa nankula na malalya ambae hata sijamtomba kila nikijitafakari najioma mpuuzi sna na mpuumbavu mno
 
😂😂
 
Na vipi ulimkamua vzr au ilikuwaje
 
Bora nyie mnaweza hata kuandika lolote walau mpate ahueni ya moyo ,Mimi hata kuandika siwezi maana nitaishia kulia tu na kuchekwa hapa .
Ila manesi ni wachawi sana nawaambia vijana wangu.
 
Wengi hawatatoa shuhuda zao ila wanachosema kinatokea sana kwa wanaume kamili. reglet inakuja baadae, sasa wengine wanmewekeza majumba na magari, tena wanapigwa chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…