Kichina tunasema ni hao....anywaway ...huko kuvaa unavaa ni i au kula wakula nini weye?isijekua birian yakheKwanza kabisa nadhani inajulikana kwamba kichenza ndiye kijana anayevaa na kula vizuri jamii forum nzima na hilo halina upinzani...
anyway ni muda kidogo sijaonekana Jf, ishu ni kwamba nilikuwa nje ya nchi kwa ajili ya mapumziko kidogo na pia sikutaka kujishughulisha na Jf so nilikuwa tu nashinda kule twiter tukibadilishana mawazo na baadhi ya viongozi mbali mbali.. But all in all kichenza nimerudi I'm herenow, nawasalimu sana... Kwa kichina nawasalimu sana tunasema (chinkwao shwaa)...
Kama asubuhi lazima nipate mchemsho wa mbuni na mayai yake na ndizi mshabuko kutoka sudani na juisi ya tende bardiiiiii...huu mlo wa asubuhi tu gharama yake ni kama laki na nusu kwa hiyo unaweza ukaona mwenyeweKichina tunasema ni hao....anywaway ...huko kuvaa unavaa ni i au kula wakula nini weye?isijekua birian yakhe
Unanikumbuka ulinifanya nikapigwa ban nauliza unanikumbuka... nahisi sa hivi utakuwa umeajiriwa na Jf... vipi mshahara unalipwa sh ngapi.Unajitekenya mwenyewe afu unacheka mwenyew
Huenda yeye ndiye mpishi wa Biriani. Kwa hiyo huenda yeye ndiye analiwa Biriani lake..Kichina tunasema ni hao....anywaway ...huko kuvaa unavaa ni i au kula wakula nini weye?isijekua birian yakhe
Kajifunze kwanza kuandika Twitter halafu ndio urudi hapa!
ahahahahhahhHuenda yeye ndiye mpishi wa Biriani. Kwa hiyo huenda yeye ndiye analiwa Biriani lake..
Call me boss kichenzaKijana wa mwendo kasi
wasema weweWewe ni mvuta bangi
wasema weweUmeacha matumizi ya mihadarati ?
Soma tena ulichoninukuuwasema wewe
Soma tena ulichoninukuuSoma tena ulichoninukuu
HahahaKama asubuhi lazima nipate mchemsho wa mbuni na mayai yake na ndizi mshabuko kutoka sudani na juisi ya tende bardiiiiii...huu mlo wa asubuhi tu gharama yake ni kama laki na nusu kwa hiyo unaweza ukaona mwenyewe
Ni Mimi boss kichenzaHahaha