Kwanza kabisa nadhani inajulikana kwamba kichenza ndiye kijana anayevaa na kula vizuri jamii forum nzima na hilo halina upinzani...
anyway ni muda kidogo sijaonekana Jf, ishu ni kwamba nilikuwa nje ya nchi kwa ajili ya mapumziko kidogo na pia sikutaka kujishughulisha na Jf so nilikuwa tu nashinda kule twiter tukibadilishana mawazo na baadhi ya viongozi mbali mbali.. But all in all kichenza nimerudi I'm herenow, nawasalimu sana... Kwa kichina nawasalimu sana tunasema (chinkwao shwaa)...
anyway ni muda kidogo sijaonekana Jf, ishu ni kwamba nilikuwa nje ya nchi kwa ajili ya mapumziko kidogo na pia sikutaka kujishughulisha na Jf so nilikuwa tu nashinda kule twiter tukibadilishana mawazo na baadhi ya viongozi mbali mbali.. But all in all kichenza nimerudi I'm herenow, nawasalimu sana... Kwa kichina nawasalimu sana tunasema (chinkwao shwaa)...