Ni Miss Tanzania yupi uliyemuelewa na unayemkubali?

Ni Miss Tanzania yupi uliyemuelewa na unayemkubali?

Wewe angela kwani ni mtanzania ndio tuanzie hpo
Ni mtanzani ndio, mama yake ni mzungu kutoka ukraine na baba yake ni mtanzania anaitwa damas mtalima. Kabila lake silijui ila najua ni mtu wa mara
Damas mtalima alikuwa mwalimu airwing high school
 
Ni mtanzani ndio, mama yake ni mzungu kutoka ukraine na baba yake ni mtanzania anaitwa damas mtalima. Kabila lake silijui ila najua ni mtu wa mara
Damas mtalima alikuwa mwalimu airwing high school
Baba yake ni mjita ndio ckujua kama alikuwa mwalimu!
 
Baba yake ni mjita ndio ckujua kama alikuwa mwalimu!
Ni kweli ni mjita kutoka mara, alikuwa mwalimu wetu airwing pia nafikiri alikuwa mwanajeshi japo sina uhakika sn.
Nilisikia amefariki,
 
Ni kweli ni mjita kutoka mara, alikuwa mwalimu wetu airwing pia nafikiri alikuwa mwanajeshi japo sina uhakika sn.
Nilisikia amefariki,
Kuna kipindi nilikutana nae Paris ufaransa way back kidogo!
 
Back
Top Bottom