Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mtanzania mkuuWewe angela kwani ni mtanzania ndio tuanzie hpo
Ni mtanzani ndio, mama yake ni mzungu kutoka ukraine na baba yake ni mtanzania anaitwa damas mtalima. Kabila lake silijui ila najua ni mtu wa maraWewe angela kwani ni mtanzania ndio tuanzie hpo
Baba yake ni mjita ndio ckujua kama alikuwa mwalimu!Ni mtanzani ndio, mama yake ni mzungu kutoka ukraine na baba yake ni mtanzania anaitwa damas mtalima. Kabila lake silijui ila najua ni mtu wa mara
Damas mtalima alikuwa mwalimu airwing high school
Ni kweli ni mjita kutoka mara, alikuwa mwalimu wetu airwing pia nafikiri alikuwa mwanajeshi japo sina uhakika sn.Baba yake ni mjita ndio ckujua kama alikuwa mwalimu!
Huyu mbna amefanan na mke wa Bashe? Kulikoni?
Kheeeh mke wa Bashe alishakuwa Miss Tanzania? Jima lake nani?Hahaha ndio mwenyewe!
Kumbe Angela Damas ndo Mke wa Bashe, uwiiiiiiihAngela damasi!
Hapana, Mbiki msumi ambaye alikuwa mshindi namba mbili maana Sikumbuki vizuri ndo ameolewa na bashieKumbe Angela Damas ndo Mke wa Bashe, uwiiiiiiih
Aseeeeeh.
hii mali safi kabisa hapa peku peku kabisaMy all time favourite. Hao wengine wabaya sura mbayaa.View attachment 2199464
hapa nitavaa moja alafu badae na vua naenda peku