NI MITAA GANI DAR HAINA MAJINA MAKUBWA LAKINI INA POPULATION KUBWA YA WATU NA BIASHARA ZINAFANYIKA SANA?

NI MITAA GANI DAR HAINA MAJINA MAKUBWA LAKINI INA POPULATION KUBWA YA WATU NA BIASHARA ZINAFANYIKA SANA?

aBuwash

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2023
Posts
262
Reaction score
497
Hello wana jf
Natumai wote mko poa sana
Naulizia gani hivi hapa dar haina majina makubwa sana kama vile tandika, mbagala, kariakoo nk.
Lakini ina watu wengii na biashara zinafanyika kwa maana zinauzika

Nilikuwa mbagala na store yangu ya mchele ila kwa sasa nimenyoosha mikono ushindani umekuwa mkubwa sana ukilinganisha na mtajii wangu naona vita imekuwa kubwa sana

Kwaiyo cjakataa tamaa kweny biashara nayofanya ila nataka kubadilisha location niende sehem ambayo kidg naweza kuimuduu aisee

Kama kuna mtaa wowote upo fresh amabao naweza fungua ki store changu cha mchele pand hizo dondosha mtaa chini hapo ili niendee nikafanye research
Natumaini mtakuwa mmenisaidia sana
 
Endelea hapo hapo,yaani utafahamika lini,Kila wakati unaanza sehemu mpya,pambana uzoeleke,wanaouza sana siyo kwamba wamefunguwa na gafla wakawa na Wateja Wengi hapana,inakubidi uvumilie ili biashara ifahamike Kwa raia.
 
Endelea hapo hapo,yaani utafahamika lini,Kila wakati unaanza sehemu mpya,pambana uzoeleke,wanaouza sana siyo kwamba wamefunguwa na gafla wakawa na Wateja Wengi hapana,inakubidi uvumilie ili biashara ifahamike Kwa raia.
Shida mzee kodi kubwa afu nashindwa kuuza inavyotakiwa na nimeshalipa kodi mara mbili mpka sasa na mambo bado hola nikilipa mara ya tatu hata mtaji wenyewe utayumba ko natafuta sehem ambayo kidg ina uafazariii mzee
 
Endelea hapo hapo,yaani utafahamika lini,Kila wakati unaanza sehemu mpya,pambana uzoeleke,wanaouza sana siyo kwamba wamefunguwa na gafla wakawa na Wateja Wengi hapana,inakubidi uvumilie ili biashara ifahamike Kwa raia.
Mwenzangu, kama kuna mahala akienda anaweza kufahamika kwa haraka (Sabab ushindani sio mkubwa) ahame tu hakuna tuzo ya mtesekaji bora!
 
Back
Top Bottom