Ni mjamzito zaidi ya miezi 10

Ni mjamzito zaidi ya miezi 10

Huu sio ushauri wa kufuatwa..mtoa mada nenda hospitali na uombe kwa imani yako muda wote haya mambo ya kutandika mataulo na kuimba imba ni ushirikina tu huo

ndio ni ushirikina ndo maana ata msikitini kutandika jamvi nayo ni ushirikina
 
Back
Top Bottom