Ni mke wa mtu ila dah!

Ni mke wa mtu ila dah!

Habari zenu waungwana??? Mimi mdogo wenu leo naweka hili bandiko humu kuomba ushauri kwa maana akili na maamuzi yangu naona kama yanashindwana na matamanio ya mwili wangu...

Kiufupi kuna msichana hapa mtaani kwetu anaonesha hisia za kunipenda sana na ukweli ni kuwa nampenda pia na sijui ni kwanini imekuwa rahisi kushawishika naye...

Huyu mschana nilikuwa namchukulia kama dogo tu kipindi ambacho tumehamia hapa mtaani nilipo (tulihamia mwaka 2005) akiwa bado mdogo tu na alikuwa na dada zake wengine hao ndo nilikuwa nawafukuziaga kipindi kile tupo wadogo sana kama 15years hivi...

Sasa hivi ameolewa huko Mtwara lakini kipindi anaolewa mimi sikuwepo hapa mtaani ambapo nimerudi tena kukaa hapa kwasababu zangu binafsi,mwaka jana alikuja kwenye harusi ya ndugu yake ndo nikapata bahati ya kuonana nae tena akiwa kabadilika sana infact she is so beautful,she has nice figure na kitabia yuko fresh kifupi ana vigezo vya mke ninaemhitaji.....Nikampaga namba kwa maana nilikutana nae juu juu na aliniambia kuwa baada ya hiyo harusi ataondoka tena mtwara lakini hakunitafuta hata kidogo na sikujua sababu kabisa nikampotezea (Kumbe aliolewa)....


Mwaka huu mwezi wa kwanza alikuja tena kutokea huko Mtwara aseee nilimface na kumshutumu kwanini hakunitafuta na mixer kutoa yangu ya moyoni ndio la haula! ananiambia kuwa kaolewa asee nilikata tena hayo mazoea nikaamua nifanye mambo yangu mengine mpaka alipoondoka tena kurudi kwa mmewe huko Mtwara..

Kwenye Tatizo Sasa; Kwenye Mwezi wa 7 mpaka hivi ninavyotype yuko tena hapa mtaani na naona bado wana mahusiano mazuri tu na mumewe huko alipo (Kwa kuwa mara kwa mara namkuta akiwa anazungumza nae) lakini tatizo ni kwamba na yeye ameamua kureveal hisia zake kwangu ila kikwazo ni mumewe....

Kipindi hiki sasa mara kwa mara amekuwa akinilalamikia kuwa anakuja homboi hanikuti mpaka jana nilipoamua kumpanga aje home leo asubuhi (Agenda ya kukutana wote wawili tulikuwa hatuifahamu) asee ni kama masikhara leo alfajir kabla sijaamka kumbe alikuja na kunigongea mlango nikiwa bado nimeuchapa usingizi yaaani asubuhi sana....Na mida ya saa mbili hivi akapita tena na kuja mtaani kwangu na kwa wakati huo akawa amenikuta nishaamka najiandaa kuingia bafuni,inshort kakawa kanalalamika kuwa nimelala sana na hapa nikajua kuwa kuna kitu alihitaji kunipa...

Nikampanga nikirudi kuoga na yeye arudi hapo (kwa kuwa yeye kaja na mdogo wake kwenda kuchota maji karibu na hapa nyumbani ikiwa ni kigezo cha kuja kuonana na mimi baada ya ile mara ya kwanza kufeli)...Naweza sema kama haikupangwa hii leo maana baada ya hapo hakurudi tena (Sababu ni huu mtaa tunaoishi jinsi ulivyo na ukaribu wetu na majirani,pia muda haukuwa rafiki kwake) na kuna sehemu ameniaga kuwa anaelekea na atarudi kesho yake (Jumapili).

Nampenda sana na Naona ananipenda kiukweli tatzio ni mke wa mtu na wallah akili na imani yangu inanituma nisifanye hiki kitu kwa kuwa nilijiapiza before kuwa sitaweza kuingia katika mahusiano yanayohusisha ndoa ya mtu mpaka mimi nitakapokuja kuoa lakini dah huyu ananipa wakati mgumu sana..

Anavyodai ananipenda tangu tuko wadogo mapindi yale niliyokuwa ninamdharau kumuona dogo tu kwa kuwa dada zake ndo walikuwaga wa moto kipindi kile ila inshu ndo kaolewa sasa[emoji26] kiukweli naona kadhamiria tu kunipa tunda kabla hajarudi tena huko Mtwara

Wakuu mnanishauri vipi mdogo wenu....I'm 23 Years na Yeye ni kama 20 years hivi ila kaozwa mapema na mumewe sijawahi kumfahamu

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Soon tutakuita Kipenselicious ukiendekeza hizo hisia za kupendwa na mke wa mtu
 
Kijana pambana na maisha umri unaenda, kadili siku zinavyokwenda ndio mabinti wazuri wanazaliwa kuujaza ulimwengu.

Tafuta hela na maisha kwanza watakuja mpaka uwakimbie tena akina Cleopatra kabisa kutoka Iraq na Egypt...
Akiwa na pesa hata hatongozi ,Kaka zake Hadi tumeanza kujilazimisha kustaafu maana niliowagegeda baada ya kupata pesa Ni mabasi ya dar lux toka mwanza to dar Kama 60 hv
 
Habari zenu waungwana??? Mimi mdogo wenu leo naweka hili bandiko humu kuomba ushauri kwa maana akili na maamuzi yangu naona kama yanashindwana na matamanio ya mwili wangu...

Kiufupi kuna msichana hapa mtaani kwetu anaonesha hisia za kunipenda sana na ukweli ni kuwa nampenda pia na sijui ni kwanini imekuwa rahisi kushawishika naye...

Huyu mschana nilikuwa namchukulia kama dogo tu kipindi ambacho tumehamia hapa mtaani nilipo (tulihamia mwaka 2005) akiwa bado mdogo tu na alikuwa na dada zake wengine hao ndo nilikuwa nawafukuziaga kipindi kile tupo wadogo sana kama 15years hivi...

Sasa hivi ameolewa huko Mtwara lakini kipindi anaolewa mimi sikuwepo hapa mtaani ambapo nimerudi tena kukaa hapa kwasababu zangu binafsi,mwaka jana alikuja kwenye harusi ya ndugu yake ndo nikapata bahati ya kuonana nae tena akiwa kabadilika sana infact she is so beautful,she has nice figure na kitabia yuko fresh kifupi ana vigezo vya mke ninaemhitaji.....Nikampaga namba kwa maana nilikutana nae juu juu na aliniambia kuwa baada ya hiyo harusi ataondoka tena mtwara lakini hakunitafuta hata kidogo na sikujua sababu kabisa nikampotezea (Kumbe aliolewa)....


Mwaka huu mwezi wa kwanza alikuja tena kutokea huko Mtwara aseee nilimface na kumshutumu kwanini hakunitafuta na mixer kutoa yangu ya moyoni ndio la haula! ananiambia kuwa kaolewa asee nilikata tena hayo mazoea nikaamua nifanye mambo yangu mengine mpaka alipoondoka tena kurudi kwa mmewe huko Mtwara..

Kwenye Tatizo Sasa; Kwenye Mwezi wa 7 mpaka hivi ninavyotype yuko tena hapa mtaani na naona bado wana mahusiano mazuri tu na mumewe huko alipo (Kwa kuwa mara kwa mara namkuta akiwa anazungumza nae) lakini tatizo ni kwamba na yeye ameamua kureveal hisia zake kwangu ila kikwazo ni mumewe....

Kipindi hiki sasa mara kwa mara amekuwa akinilalamikia kuwa anakuja homboi hanikuti mpaka jana nilipoamua kumpanga aje home leo asubuhi (Agenda ya kukutana wote wawili tulikuwa hatuifahamu) asee ni kama masikhara leo alfajir kabla sijaamka kumbe alikuja na kunigongea mlango nikiwa bado nimeuchapa usingizi yaaani asubuhi sana....Na mida ya saa mbili hivi akapita tena na kuja mtaani kwangu na kwa wakati huo akawa amenikuta nishaamka najiandaa kuingia bafuni,inshort kakawa kanalalamika kuwa nimelala sana na hapa nikajua kuwa kuna kitu alihitaji kunipa...

Nikampanga nikirudi kuoga na yeye arudi hapo (kwa kuwa yeye kaja na mdogo wake kwenda kuchota maji karibu na hapa nyumbani ikiwa ni kigezo cha kuja kuonana na mimi baada ya ile mara ya kwanza kufeli)...Naweza sema kama haikupangwa hii leo maana baada ya hapo hakurudi tena (Sababu ni huu mtaa tunaoishi jinsi ulivyo na ukaribu wetu na majirani,pia muda haukuwa rafiki kwake) na kuna sehemu ameniaga kuwa anaelekea na atarudi kesho yake (Jumapili).

Nampenda sana na Naona ananipenda kiukweli tatzio ni mke wa mtu na wallah akili na imani yangu inanituma nisifanye hiki kitu kwa kuwa nilijiapiza before kuwa sitaweza kuingia katika mahusiano yanayohusisha ndoa ya mtu mpaka mimi nitakapokuja kuoa lakini dah huyu ananipa wakati mgumu sana..

Anavyodai ananipenda tangu tuko wadogo mapindi yale niliyokuwa ninamdharau kumuona dogo tu kwa kuwa dada zake ndo walikuwaga wa moto kipindi kile ila inshu ndo kaolewa sasa[emoji26] kiukweli naona kadhamiria tu kunipa tunda kabla hajarudi tena huko Mtwara

Wakuu mnanishauri vipi mdogo wenu....I'm 23 Years na Yeye ni kama 20 years hivi ila kaozwa mapema na mumewe sijawahi kumfahamu

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app

Usituangushe mzee wee mgegede tuu sii papuchi kaileta mwenyewe.
 
Mkuu tukiisikiliza sauti ya shetani atatuingiza mitegoni halafu yeye anakaa pembeni, lakini pia tutambue huyo binti nae sio mwanamke wa maana ni mshenzi fulani hivi, kwa maana mke wa mtu anayejiheshimu na kujua maadili ya ndoa hawezi kuwa lainilaini kwa watu wa pembeni.
Aachane nae atsmponza aukimbie mji kwa aibu.

Chief tusiwe wepesi kuhukumu na kuchagua upande kabisa!

Kusema huyo binti sio “Mwanamke “ uko sawa kabisa kwa maana binti bado mdogo mno na kwa jinsia ya kike bado kabisa hajajitambua kwa kuzingatia malezi yake na makuzi ya familia nyingi za kitanzania! (Hata kama kaolewa)

Naye pia ni binaadam tamaa imemuwakia I believe naye akiomba ushauri kama huyu kijana wa kiume atapata huu huu tunaompa kijana wa kiume hapa!

Kikubwa tu Kipenseli akae nae chini aongee nae waikatae hiyo tamaa no matter the chemistry building up between them!!

Wote hawa bado wadogo mno!
 
Habari zenu waungwana??? Mimi mdogo wenu leo naweka hili bandiko humu kuomba ushauri kwa maana akili na maamuzi yangu naona kama yanashindwana na matamanio ya mwili wangu...

Kiufupi kuna msichana hapa mtaani kwetu anaonesha hisia za kunipenda sana na ukweli ni kuwa nampenda pia na sijui ni kwanini imekuwa rahisi kushawishika naye...

Huyu mschana nilikuwa namchukulia kama dogo tu kipindi ambacho tumehamia hapa mtaani nilipo (tulihamia mwaka 2005) akiwa bado mdogo tu na alikuwa na dada zake wengine hao ndo nilikuwa nawafukuziaga kipindi kile tupo wadogo sana kama 15years hivi...

Sasa hivi ameolewa huko Mtwara lakini kipindi anaolewa mimi sikuwepo hapa mtaani ambapo nimerudi tena kukaa hapa kwasababu zangu binafsi,mwaka jana alikuja kwenye harusi ya ndugu yake ndo nikapata bahati ya kuonana nae tena akiwa kabadilika sana infact she is so beautful,she has nice figure na kitabia yuko fresh kifupi ana vigezo vya mke ninaemhitaji.....Nikampaga namba kwa maana nilikutana nae juu juu na aliniambia kuwa baada ya hiyo harusi ataondoka tena mtwara lakini hakunitafuta hata kidogo na sikujua sababu kabisa nikampotezea (Kumbe aliolewa)....


Mwaka huu mwezi wa kwanza alikuja tena kutokea huko Mtwara aseee nilimface na kumshutumu kwanini hakunitafuta na mixer kutoa yangu ya moyoni ndio la haula! ananiambia kuwa kaolewa asee nilikata tena hayo mazoea nikaamua nifanye mambo yangu mengine mpaka alipoondoka tena kurudi kwa mmewe huko Mtwara..

Kwenye Tatizo Sasa; Kwenye Mwezi wa 7 mpaka hivi ninavyotype yuko tena hapa mtaani na naona bado wana mahusiano mazuri tu na mumewe huko alipo (Kwa kuwa mara kwa mara namkuta akiwa anazungumza nae) lakini tatizo ni kwamba na yeye ameamua kureveal hisia zake kwangu ila kikwazo ni mumewe....

Kipindi hiki sasa mara kwa mara amekuwa akinilalamikia kuwa anakuja homboi hanikuti mpaka jana nilipoamua kumpanga aje home leo asubuhi (Agenda ya kukutana wote wawili tulikuwa hatuifahamu) asee ni kama masikhara leo alfajir kabla sijaamka kumbe alikuja na kunigongea mlango nikiwa bado nimeuchapa usingizi yaaani asubuhi sana....Na mida ya saa mbili hivi akapita tena na kuja mtaani kwangu na kwa wakati huo akawa amenikuta nishaamka najiandaa kuingia bafuni,inshort kakawa kanalalamika kuwa nimelala sana na hapa nikajua kuwa kuna kitu alihitaji kunipa...

Nikampanga nikirudi kuoga na yeye arudi hapo (kwa kuwa yeye kaja na mdogo wake kwenda kuchota maji karibu na hapa nyumbani ikiwa ni kigezo cha kuja kuonana na mimi baada ya ile mara ya kwanza kufeli)...Naweza sema kama haikupangwa hii leo maana baada ya hapo hakurudi tena (Sababu ni huu mtaa tunaoishi jinsi ulivyo na ukaribu wetu na majirani,pia muda haukuwa rafiki kwake) na kuna sehemu ameniaga kuwa anaelekea na atarudi kesho yake (Jumapili).

Nampenda sana na Naona ananipenda kiukweli tatzio ni mke wa mtu na wallah akili na imani yangu inanituma nisifanye hiki kitu kwa kuwa nilijiapiza before kuwa sitaweza kuingia katika mahusiano yanayohusisha ndoa ya mtu mpaka mimi nitakapokuja kuoa lakini dah huyu ananipa wakati mgumu sana..

Anavyodai ananipenda tangu tuko wadogo mapindi yale niliyokuwa ninamdharau kumuona dogo tu kwa kuwa dada zake ndo walikuwaga wa moto kipindi kile ila inshu ndo kaolewa sasa[emoji26] kiukweli naona kadhamiria tu kunipa tunda kabla hajarudi tena huko Mtwara

Wakuu mnanishauri vipi mdogo wenu....I'm 23 Years na Yeye ni kama 20 years hivi ila kaozwa mapema na mumewe sijawahi kumfahamu

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app

Chief, tayari umekiri hapa mwenyewe;

“ni mke wa mtu na Akili na Imani yangu vinanikataza kabisa kufanya hii kitu maana nilishajiapiza...”

Hebu fuata hiyo Imani na Akili zako ulivyojiapiza navyo!
 
Akiwa na pesa hata hatongozi ,Kaka zake Hadi tumeanza kujilazimisha kustaafu maana niliowagegeda baada ya kupata pesa Ni mabasi ya dar lux toka mwanza to dar Kama 60 hv

hahahahahahahahahaha..

wengine mpaka tumesahau kutongoza, maana ukimsalimia tu mtu tayari wakwako.. vijana hawajui account zikisoma vizuri hawa viumbe inafika mahala huna muda nao bali wao ndio huwa na muda na wewe..
 
Chief tusiwe wepesi kuhukumu na kuchagua upande kabisa!

Kusema huyo binti sio “Mwanamke “ uko sawa kabisa kwa maana binti bado mdogo mno na kwa jinsia ya kike bado kabisa hajajitambua kwa kuzingatia malezi yake na makuzi ya familia nyingi za kitanzania! (Hata kama kaolewa)

Naye pia ni binaadam tamaa imemuwakia I believe naye akiomba ushauri kama huyu kijana wa kiume atapata huu huu tunaompa kijana wa kiume hapa!

Kikubwa tu Kipenseli akae nae chini aongee nae waikatae hiyo tamaa no matter the chemistry building up between them!!

Wote hawa bado wadogo mno!
Kweli mkuu ni kama nimesimangwa na baadhi ya maoni ya wadau.....Ila sijutii kwa kuwa wengi walionionipa ushauri ni wakubwa zang na wametoa experience zao


Ila hongera na shukrani umejibu kwa busara sana

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Tupeane connection sasa mkuu....Maana vijana hali tete mtaani mpaka yanatukuta haya

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Kweli mdogo wangu umechoka unatumia hadi tecno,anyway Anza kilimo hautajuta,hakikisha shamba unalimiliki mwenyewe,piga show zako kimyakimya,
Misemo hii iwe dira yako
-mchumia juani,hulia kivulini
-harakaharaka,haina baraka
Lima kilimo biashara,kumbuka haya yote yanapatikana kwa juhudi zako,siyo rocket science,na kuwa tajiri siyo dhambi.
La mwisho,Kasome Darwin's theory of surviving..kwa tafasri ya mtaani "kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake".Baba yetu Magufuli anavyosema Tanzania ni nchi tajiri anamaanisha,na anavyosema anatamani aiache Tanzania ikiwa na mabilionea vijana wengi ni kweli kabisa...zamani Kuna mwanamuziki aliimba umaskini si kilema,ila Sasa imedhihirika wazi umaskini ni ulemavu/uvivu..
Mwisho:hakuna nchi tajiri Kama Tanzania...amini utaziishi ndoto zako..kwa msaada zaidi ni PM
 
Kweli mdogo wangu umechoka unatumia hadi tecno,anyway Anza kilimo hautajuta,hakikisha shamba unalimiliki mwenyewe,piga show zako kimyakimya,
Misemo hii iwe dira yako
-mchumia juani,hulia kivulini
-harakaharaka,haina baraka
Lima kilimo biashara,kumbuka haya yote yanapatikana kwa juhudi zako,siyo rocket science,na kuwa tajiri siyo dhambi.
La mwisho,Kasome Darwin's theory of surviving..kwa tafasri ya mtaani "kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake".Baba yetu Magufuli anavyosema Tanzania ni nchi tajiri anamaanisha,na anavyosema anatamani aiache Tanzania ikiwa na mabilionea vijana wengi ni kweli kabisa...zamani Kuna mwanamuziki aliimba umaskini si kilema,ila Sasa imedhihirika wazi umaskini ni ulemavu/uvivu..
Mwisho:hakuna nchi tajiri Kama Tanzania...amini utaziishi ndoto zako..kwa msaada zaidi ni PM
Aaaah kumbe Motivational Speaker
 
Back
Top Bottom